Hahaha eti kwanini?Watu wenye roho za kwanini siwezi waacha mpotoshe wajinga wenzenu
Mlisemaga diamond hana hela ya kumlipa msanii mkubwa mbona mnabadilika tenaHongera sana PR TEAM wa Diamond.
Kufanya komasava iende international 👇👇👇
1. Just pay Chris Brown the money
2. Ask him to do a video while dancing to the song and post it on socials...
👏👏👏👏
Chris Brown kaukubali inatosha sanaSijaona uzuri wa wimbo wa komasava
Kijamaa kinalamba tu maokoto kharam
Daimond ni msanii namba 1 Africa? Huu ni uchawa
Muulize sheikh wa msikiti wa karibu yakoAcha ufinyu wa akili wewe, halali ni ipi
Muulize sheikh wa msikiti wa karibu yako