Samcezar
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 13,095
- 22,731
Na yeye siku hizi anaimba yale yale ya kinaijeria amepoteza directionMtoa mada hujui mziki Mondi na Harmonize wanaimba taste za kinaijeria ambazo wanaijeria walizipigania na zimefanikiwa ndiyo maana unahisi Mond na Harmonize wamefanikiwa ndiyo wamefanikiwa kwa kuimba taste za watu wengine Alikiba anakomaaa na bongo fleva na uwezo wa Alikiba ndiyo uwezo wa bongo fleva.
Honestly bongo fleva haijapga hatua saaaan ndiyo maani Alikiba hajapiga hatua
Kuhusu matangazo Alikiba alisema matangazo yanakuj tatizo Bei
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app