Diamond na Mbosso washindana mauno, nani zaidi?

Diamond na Mbosso washindana mauno, nani zaidi?

Wewe Binti utakua na matatizo ya akili sio bure,akili yako hua inawaza udini tu,vicomment vyako hapa jf vyote ni vya kipumbavu pumbavu tu.
Hivi wewe kati ya mimi na huyo jamaa aliyewatukana waislam kina Naseeb ni mashoga nani kaleta udini?
Yani mimi ninayewatetea ndio unaniita mdini?
Why are you so biased?
 
Hivi wewe kati ya mimi na huyo jamaa aliyewatukana waislam kina Naseeb ni mashoga nani kaleta udini?
Yani mimi ninayewatetea ndio unaniita mdini?
Why are you so biased?
Upumbavu wako hujauanza leo usifikiri kua husomeki,kulikua na haja gani kwa wewe kuweka issue ya udini? Endelea tu.
 
Watoto wa kiume wanasifiwa kunyonga nyonga...dah!!!
 
Mwanaume mzima kuanza kujadili viuno vya wanaume wenzio huoni Kama Kuna tatizo hapo?

Mtoa mada nenda kapime afya ya akili yako.
 
Back
Top Bottom