Basi DRC yote ni matatizo.Mechanism ya kufanya kiuno kikatike sijawahi ielewa.
Nahisi wanawake wameumbwa na karama hiyo tu, maana wao hata wakiwa wanatembea uno linakata..
Ila hao wanaume wanaokata kama wadada, huenda kuna katatizo mahala.
[emoji23][emoji23][emoji23]mwisho wa duniaWatoto wa kiume wanasifiwa kunyonga nyonga...dah!!!
Muonekano wa diamond siku hizi siupendi, anavaa mapajama kila siku hapendezi na hayo manywele.
Jamaa yupo kama lily wine sasa hv, yaan had anatishajamaa anasumbuliwa na matatizo mawili makubwa, Kwanza matumizi ya sembe yamekua makubwa sana na jengine inavyosemekana kuna vijana wanampumulia.
Si unaona pk anavyowanyooshaBasi DRC yote ni matatizo.
Duh...jamaa anasumbuliwa na matatizo mawili makubwa, Kwanza matumizi ya sembe yamekua makubwa sana na jengine inavyosemekana kuna vijana wanampumulia.
Anamuiga AsakeMuonekano wa Diamond siku hizi siupendi, anavaa mapajama kila siku hapendezi na hayo manywele.
Hapendezi kiukweliAnamuiga Asake