Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Team Chibunye Wanamponda team Chibunye Mwenzao, Kwakua kaleta habari ya kumuaibisha boss wao
Kiukweli hii habari ya Kipuuzi
Bas hapo roho yako imesuuzika[emoji23][emoji23][emoji23] misukule insta ilikua inajitapa na kudadavua bei
ndioIna maana ata kudownload pich ukatuma hapa pia hujui?
CoronaWanaume wa dar mnatuaibisha Sana sijui tatizo lipo wapi aisee
Afu Na me cjui nmeanzaje...?Team Chibunye Wanamponda team Chibunye Mwenzao, Kwakua kaleta habari ya kumuaibisha boss wao
Kiukweli hii habari ya Kipuuzi
🤣🤣🤣 mkuu msamehe mleta mada hajui tu jinsi alivyokuumizaWanaume wa dar mnatuaibisha Sana sijui tatizo lipo wapi aisee
Mwalimu wako wa english hajakup home work shule zikifunguliwa usubmit?then still to be fake
Hahahahahaha hadi kwa video zake hahaha rayvan nyegezi anakitambi fulani awezi vua ShatiHarmonize havai shati kwenye stage
Picha ??
Aniumize kivp?🤣🤣🤣 mkuu msamehe mleta mada hajui tu jinsi alivyokuumiza
🤣Aniumize kivp?
Si ungewawekea vijana wenzako link ya huo mtandao kama deliverable ya kile unachozungumzaSwala la Diamond kuvaa saa fake limekuwa kuuubwa ila bado kitu saa aliyovaa ni very expensive inakadiriwa kuwa na gharama ya $130.
Kupitia ukurasa wake wa Instergram Diamond alipost picha akiwa kavaa saa hiyo baada ya masaa machache ukurusa unaotambulika kama fake watch ukurasa unaofuatiliwa na wasanii mbalimbali na wakubwa duniani ikiwa na Kanye west, Chris Brown, Justin Bieber na wengine wengi mtandao unaojihusisha na vitu fake pia ulipost picha hyo ikieleza kuwa saa iliyovaliwa ni msanii huyo ni fake.