Diamond na saa fake

Diamond na saa fake

mkuu embu wacha fujo.
Screenshot_20200501-145822_Instagram~3.jpg
 
Kumbe hata saa fake washazipiga marufuku kuvaliwa tz??? Maisha yako mbio sana
 
Swala la Diamond kuvaa saa fake limekuwa kuuubwa ila bado kitu saa aliyovaa ni very expensive inakadiriwa kuwa na gharama ya $130.

Kupitia ukurasa wake wa Instergram Diamond alipost picha akiwa kavaa saa hiyo baada ya masaa machache ukurusa unaotambulika kama fake watch ukurasa unaofuatiliwa na wasanii mbalimbali na wakubwa duniani ikiwa na Kanye west, Chris Brown, Justin Bieber na wengine wengi mtandao unaojihusisha na vitu fake pia ulipost picha hyo ikieleza kuwa saa iliyovaliwa ni msanii huyo ni fake.
Herman tayari Diamond keshatengeneza legacy yake na future yake.. Katimiza sehemu kubwa ya ndoto zake... Tutumie muda huu adhimu nasi kutengeneza legacy na future zetu ili siku nasi tukivaa makatambuga tuwe gumzo

Jr[emoji769]
 
Swala la Diamond kuvaa saa fake limekuwa kuuubwa ila bado kitu saa aliyovaa ni very expensive inakadiriwa kuwa na gharama ya $130.

Kupitia ukurasa wake wa Instergram Diamond alipost picha akiwa kavaa saa hiyo baada ya masaa machache ukurusa unaotambulika kama fake watch ukurasa unaofuatiliwa na wasanii mbalimbali na wakubwa duniani ikiwa na Kanye west, Chris Brown, Justin Bieber na wengine wengi mtandao unaojihusisha na vitu fake pia ulipost picha hyo ikieleza kuwa saa iliyovaliwa ni msanii huyo ni fake.
Hata majira haisomi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Swala la Diamond kuvaa saa fake limekuwa kuuubwa ila bado kitu saa aliyovaa ni very expensive inakadiriwa kuwa na gharama ya $130.

Kupitia ukurasa wake wa Instergram Diamond alipost picha akiwa kavaa saa hiyo baada ya masaa machache ukurusa unaotambulika kama fake watch ukurasa unaofuatiliwa na wasanii mbalimbali na wakubwa duniani ikiwa na Kanye west, Chris Brown, Justin Bieber na wengine wengi mtandao unaojihusisha na vitu fake pia ulipost picha hyo ikieleza kuwa saa iliyovaliwa ni msanii huyo ni fake.

Haisomi majira ya sayari dunia?
 
Hasara ya kulewa mbege
Mkuu acha kuhusisha kinywaji chetu pendwa na hoja mbovu ya mtoa post.
Avae saa fake au original ni maamuzi yake binafsi.
Mimi binafsi tokea niwe namiliki simu sijawahi kutumia saa ya mkononi muda naangalia Kwenye simu
 
Kama ni kweli mwambieni aache kuvaa midosho bora calture...hiyo mivitu amwachei Davido
 
Picha za uthibitisho ili kusapoti Uzi ziko wapi na unatoa wapi ujasiri wa kuanzisha mada kama hii bila picha ?
 
Swala la Diamond kuvaa saa fake limekuwa kuuubwa ila bado kitu saa aliyovaa ni very expensive inakadiriwa kuwa na gharama ya $130.

Kupitia ukurasa wake wa Instergram Diamond alipost picha akiwa kavaa saa hiyo baada ya masaa machache ukurusa unaotambulika kama fake watch ukurasa unaofuatiliwa na wasanii mbalimbali na wakubwa duniani ikiwa na Kanye west, Chris Brown, Justin Bieber na wengine wengi mtandao unaojihusisha na vitu fake pia ulipost picha hyo ikieleza kuwa saa iliyovaliwa ni msanii huyo ni fake.
Og anayo hapend show off siku hizi...kwa diamond kitu OG alichonacho ni KINYWA hahahahahaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom