Diamond na saa fake

😂😂😂😂😂 Raha ya kuwa mTanzania
 
Si ungewawekea vijana wenzako link ya huo mtandao kama deliverable ya kile unachozungumza
 
Aliyeandika uzi huu ni jinsia gani? Anatambua Jf siyo Instagram ama huko fb? Acha mambo ya ajabu bhana,kavaa SAA safi kabisa...iwe fake ama iwe original wewe inakuwashia nini?

Km ni jinsia me, nenda Hosp ukafanyie upasuaji hustahili kumiliki hyo bakora.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…