Diamond ni mchawi, achaneni naye!

Diamond ni mchawi, achaneni naye!

Kwa wenye sikio la mziki tu watakuelewa ila wasio kuna na aina hiyo ya sikio wata kuita team kiba na majina mengine ya ajabu na matusi juu
 
Ali kiba angekuwa mbali sana ila madharau kibao si kwa mashabiki hadi wanaompromote DOGO ANA DHARAU NA KUJIONA.
 
Kwa wenye sikio la mziki tu watakuelewa ila wasio kuna na aina hiyo ya sikio wata kuita team kiba na majina mengine ya ajabu na matusi juu
Huenda hujasoma yote au hujaelewa alichomaanisha.

Huyo mtoa Mada ndio kakejeli kuhusu kiba zaidi hao wachangiaji.
 
Nyimbo za Ali Kiba unaweza kuzikiliza ukiwa umekaa na wakwe zako. Hazina matusi anatumia lugha za staha.

Kwasauti Kiba ni Mfalme wa muziki Tanzania.
Endelezea kusikiliza nyimbo kwa manufaa ya wakwe zako
 
Nani kakuambia Diamond sio muandishi mzuri wa nyimbo? Refer these songs
1. Ukimwona
2. Moyo wangu
3. Utanipenda
4. Lala salama
5. Number one
6. Kamwambie
7.Mbagala
8. Nataka kulewa
9. Nitampata wapi
10. Marry you
11. Mdogo mdogo, na nyingine kibao tu.

Uandishi umetulia kabisa. Na alianza kumfunika Kiba tangu kipindi hicho anaandika ngoma zenye ujumbe, sasa hivi Diamond kubadilika na kuandika hizi ngoma za kuchezeka kama Baba lao haimaanishi kuwa hajui kuandika. Dogo ni mjanja sana, anajua kucheza na soko la muziki wa bongo na ndo maana anafanikiwa.
Ukitaka kumsaidia mtu afanikiwe mpe mfano wa Alikiba na Diamond.

Alikiba ana sauti nzuri anatunga vizuri ila tatizo lake kubwa na linalofanya asifike alipo Diamond ni tabia ya kujiona mfalme, kujiona yeye anapaswa kukimbiliwa,kujiskia na kuvimba.

Diamond sio muandishi mzuri ila anajua kucheza na akili za watu,anaheshimu mashabiki wake,anawalilia na kuwafanya wajione wanamsaidia,ni mnyenyekevu na anatangaza kazi zake kama vile ni msanii chipukizi. Diamond hana kiburi.

Watanzania wengi wanapenda kunyenyekewa na ukilijua hilo utawapata sana.
 
Li wimbo la baba yao ni bayaaaaa ni bayaàaaa liwe na views au lisiwe nayo. Ukweli lazima usemwe
 
Sumbi Sanchez,

Diamond kama unavyosema ana mass kubwa ya washabiki East Africa, ila Ali kiba ana mashabiki royal na wanaishi na kukua na kuzeeka nae, na miziki yake Diamond akifa leo anasahaulika mazima, ila sio Kiba.

Ukitaka kuona yeye Diamond hajiamini, wewe mshabiki wake haujiamini ni pale katika kila jambo lenu lazima umtaje Kiba!!!..ilitosha kukaa kimya kabisa na bado mkasonga mbele.
 
Nani kakuambia Diamond sio muandishi mzuri wa nyimbo? Refer these songs
1. Ukimwona
2. Moyo wangu
3. Utanipenda
4. Lala salama
5. Number one
6. Kamwambie
7.Mbagala
8. Nataka kulewa
9. Nitampata wapi
10. Marry you
11. Mdogo mdogo
Na nyingine kibao tu, uandishi umetulia kabisa. Na alianza kumfunika Kiba tangu kipindi hicho anaandika ngoma zenye ujumbe, sasa hivi Diamond kubadilika na kuandika hizi ngoma za kuchezeka kama Baba lao haimaanishi kuwa hajui kuandika. Dogo ni mjanja sana, anajua kucheza na soko la muziki wa bongo na ndo maana anafanikiwa.

1
9
10

Best written songs ever
 
Diamond kama unavyosema ana mass kubwa ya washabiki East Africa
Ila Ali kiba ana mashabiki royal na wanaishi na kukua na kuzeeka nae, na miziki yake
Diamond akifa leo anasahaulika mazima, ila sio Kiba
Ukitaka kuona yeye diamond hajiamini, wewe mshabiki wake haujiamini ni pale katika kila jambo lenu lazima umtaje Kiba!!!..ilitosha kukaa kimya kabisa na bado mkasonga mbele
Uko sahihi. Hongera kwa kuwa mtabiri mzuri. Naungana na wewe. Diamond asiyejiamini akifa atasahaulika ndani ya sekunde 14. Ali Kiba naona angalau atafikia nusu ya mafanikio ya Diamond then.
 
  • Thanks
Reactions: Qwy
Nyimbo za Ali Kiba unaweza kuzikiliza ukiwa umekaa na wakwe zako. Hazina matusi anatumia lugha za staha.

Kwasauti Kiba ni Mfalme wa muziki Tanzania.

Wewe hayo ndo mawazo yako unawaza kukaa kwa wakwe wakati wenzio wanawaza hela,kitu husichokpenda ndo kina values kubwa kwenye ulimwengu wa leo...Angalia ata maandiko matakatifu yote yanakataza vitu vinavyopendwa na Wanadamu...ila yanajikuta haya jinsi wanadamu wanayapenda na wanayafanya tu.
 
Diamond kama unavyosema ana mass kubwa ya washabiki East Africa


Ila Ali kiba ana mashabiki royal na wanaishi na kukua na kuzeeka nae, na miziki yake


Diamond akifa leo anasahaulika mazima, ila sio Kiba


Ukitaka kuona yeye diamond hajiamini, wewe mshabiki wake haujiamini ni pale katika kila jambo lenu lazima umtaje Kiba!!!..ilitosha kukaa kimya kabisa na bado mkasonga mbele
Uliwai kuwauwa mkuu?
 
Mziki ni zaidi ya kuwa na sauti nzuri, trend ya mziki wa sasa ni kudance ndiyo maana utasikia nyimbo za kinaija zinapendwa wakati hakuna chochote walichoimba.
Diamond analijua hilo yuko katika kutengeneza pesa siyo kutafuta sifa naye anakubari kuwa anafanya mziki wa ujanja ujanja.
Utaskia watu wanamlaumu oh kalipia instagram adverts waupromote upate viewers wengi.
Uwa nashangaaa kwani tatizo ni nini? Anafanya biashara na biashara matangazo
kujenga nyumba nzuri ambayo sio #imar
Huenda hujasoma yote au hujaelewa alichomaanisha

Huyo mtoa Mada ndio kakejeli kuhusu kiba zaidi hao wachangiaji.
Nilisoma zangu mistari kazaa na kuacha comment hayo magazet sie wengne wavivu bhana.
 
Diamond kama unavyosema ana mass kubwa ya washabiki East Africa


Ila Ali kiba ana mashabiki royal na wanaishi na kukua na kuzeeka nae, na miziki yake


Diamond akifa leo anasahaulika mazima, ila sio Kiba


Ukitaka kuona yeye diamond hajiamini, wewe mshabiki wake haujiamini ni pale katika kila jambo lenu lazima umtaje Kiba!!!..ilitosha kukaa kimya kabisa na bado mkasonga mbele
Mashabiki wa Kiba ni haters wa Diamond kwa asilimia kubwa.
 
Back
Top Bottom