sinza pazuri
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 3,344
- 9,066
- Thread starter
- #21
Buy exposure at any fvckn cost.Ushamba mzigo sana kwa mtoto wa tandale, sasa hapo alienda kama mualikwa ? Au model? Mbona waalikwa wenzake wanavaa tu casual?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Buy exposure at any fvckn cost.Ushamba mzigo sana kwa mtoto wa tandale, sasa hapo alienda kama mualikwa ? Au model? Mbona waalikwa wenzake wanavaa tu casual?
Superstar mega supa dupaDiamond Platinumz katika ubora wake
Unapenda sana siasa wakati huzijuiBoss wako yeye yake anayafanya vizuri, hata wewe unakiri . Wewe hata kazi ya uchawa inakushinda….iwe WCB..CCM…..kote bureeeeeee
Naona umeamua kuelezea tabia zako kijanjaSoooooon atapigwa paipuuuuuu.
Huyu yeee mbona kama kondoo wa sufiiiBora ucheki bob wa kifala kuliko wewe kuwa msela nnya.
Haya ni mambo ya kawaida kwa masupastaa wakubwa duniani.
Hata genius wa hiphop muziki wa wagumu anaelewa umuhimu wa hizi mbanga.
View attachment 3023300
Soooooon atapigwa paipuuuuuu.
Mnyamwezi huyo. USA inajua balaa lakeHuyu yeee mbona kama kondoo wa sufiii
😂😂😂🤣😂Gumzo gani?
Kwa hiyo we protocol ya life style yako huwa unafanya sio kwasababu ni sahihi kufanya.Bora ucheki bob wa kifala kuliko wewe kuwa msela nnya.
Haya ni mambo ya kawaida kwa masupastaa wakubwa duniani.
Hata genius wa hiphop muziki wa wagumu anaelewa umuhimu wa hizi mbanga.
View attachment 3023300
Soooooon atapigwa paipuuuuuu.
Tena safar hii anapekua hivyo vimikia vya pweza tu imoooPdidy sean combs liked your post
Watakao chukua urithi kazi wanayo!
Hakika mwaka huu Paris Fashion Week imepatwa na gumzo kubwa baada ya kijana wa Tandale, Diamond Platinumz kutinga na vazi lake la pweza.
Hii ni moja ya platform kubwa ya fashion duniani na inauzuliwa na watu wenye nguvu kwenye industry ya entertainment.
Kudos Diamond kwa kuiwakilisha Africa.
Soooooon atapigwa paipuuuuuu.
Daaah kweli Pesa inatafutwa sana
Hakika mwaka huu Paris Fashion Week imepatwa na gumzo kubwa baada ya kijana wa Tandale, Diamond Platinumz kutinga na vazi lake la pweza.
Hii ni moja ya platform kubwa ya fashion duniani na inauzuliwa na watu wenye nguvu kwenye industry ya entertainment.
Kudos Diamond kwa kuiwakilisha Africa.