Dormant Account
JF-Expert Member
- Apr 5, 2022
- 11,308
- 32,757
Akiigiza na huyu filamu itanoga zaid
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni nani?View attachment 2498872
Akiigiza na huyu filamu itanoga zaid
Yaah kwa ustar wake anaweza tatizo ni mpunga kuigiza movie iliyoenda shule ni gharama sana.Kwa namna scene za matukio vilivyopangiliwa kwenye wimbo wa Yatapita, now Diamond anaweza ku switch kunako kiwanda cha Bongo movie na akafanya vizuri zaid na kuinua tathinia hiyo kimataifa zaidi.
Imagine Diamond anaigiza movie kama hii;
Diamond (askali polisi) anayedhalaurika kazini, kitengo kimejaa rushwa na ufisadi.
Kikosi cha wasichana under 17 kimefuzu kwenda Japan kwa ajili ya mashindano ya world cup. Kikiwa angani kwenye ndege ya Tanzania air kumbe mle ndani kuna magaidi wanaotaka kuchukua mikoa ya kasikazini.
Kikosi hicho cha magaidi kinalazimisha ndege itue Arusha airport. Mabinti hao wanachukuliwa kuelekea kwenye kambi ya magaidi iliyoko Ngorongoro.
Kila vikosi vya usalama vinavyotumwa huko vinaambulia kipigo heavy.
Diamond (askali polisi) anajaribu kuomba aende huko, anazuiliwa. Picha za watoto hao zinatumwa wakiwa wanateswa sana na unyanyasi wa kingono.
Diamond anaamua kuandaa vijana wake wawili wanakula mafunzo ya kijeshi ili kwenda kukomboa mabinti hao. Anapata upinzani mkubwa kutoka kwa bosi wake mpaka anaamua kuacha kazi, huku akiiba baadhi ya siraha za kivita ambazo anawakabidhi vijana wake na kuondoka kuelekea ngorongoro.
Ndani ya hiyo kambi ya waasi wanajishugulisha na kilimo kikubwa cha bangi ambayo inasambazwa kwa wingi sana kwenye soko la Africa mashariki.
Diamond wanaingia hapo wanateketeza shamba hilo kwa moto na kuweza kutembeza kipigo heavy ambacho kinasaidia kuangamiza kundi hilo na kuokoa mabinti hao.
Mwisho Diamond anaweza kutoka na mabinti hao huku vikosi vya usalama vikifika ili kumpa back up, wanakuta kijana kashamaliza kazi.
Script hii ipo, bado kuigizwa tu
kwao wenzetu wazungu ni rahisi kunyoa au kuzifanya nywele watakavyo cause wao huwahi kukua .Hii script ni akili za kibongo movie, movie inaigizwa week moja….mtu anaendesha gari 10 mins katika movie ya lisaa limoja
Msanii ana act chizi ila kwa kuwa alikuwa na rasta au superblack bas anavaa kofia tu afu anacheza kipande chake.
Hajui kujielezaHata Ali Kiba anaweza.
Hiyo sio sababu yaani msanii ajira yako ulipwe inavyostahili,upewe muonekano wa script ukatae kwa sababu nywele hazitakua mapema?kwao wenzetu wazungu ni rahisi kunyoa au kuzifanya nywele watakavyo cause wao huwahi kukua .
Kiburi kipi? hebu kiweke hapi nami nikijue.Tatzo yule ana kiburi sana
Kiburi kipi? hebu kiweke hapi nami nikijue.
Punguza Chuki kwa Kiba mkuu,chuki haijengi,pambana na maisha yako.Kingekuwa kina bebeka ningeweka kabisa ata kukupa ningekupa
Kwa namna scene za matukio vilivyopangiliwa kwenye wimbo wa Yatapita, now Diamond anaweza ku switch kunako kiwanda cha Bongo movie na akafanya vizuri zaid na kuinua tathinia hiyo kimataifa zaidi.
Imagine Diamond anaigiza movie kama hii;
Diamond (askali polisi) anayedhalaurika kazini, kitengo kimejaa rushwa na ufisadi.
Kikosi cha wasichana under 17 kimefuzu kwenda Japan kwa ajili ya mashindano ya world cup. Kikiwa angani kwenye ndege ya Tanzania air kumbe mle ndani kuna magaidi wanaotaka kuchukua mikoa ya kasikazini.
Kikosi hicho cha magaidi kinalazimisha ndege itue Arusha airport. Mabinti hao wanachukuliwa kuelekea kwenye kambi ya magaidi iliyoko Ngorongoro.
Kila vikosi vya usalama vinavyotumwa huko vinaambulia kipigo heavy.
Diamond (askali polisi) anajaribu kuomba aende huko, anazuiliwa. Picha za watoto hao zinatumwa wakiwa wanateswa sana na unyanyasi wa kingono.
Diamond anaamua kuandaa vijana wake wawili wanakula mafunzo ya kijeshi ili kwenda kukomboa mabinti hao. Anapata upinzani mkubwa kutoka kwa bosi wake mpaka anaamua kuacha kazi, huku akiiba baadhi ya siraha za kivita ambazo anawakabidhi vijana wake na kuondoka kuelekea ngorongoro.
Ndani ya hiyo kambi ya waasi wanajishugulisha na kilimo kikubwa cha bangi ambayo inasambazwa kwa wingi sana kwenye soko la Africa mashariki.
Diamond wanaingia hapo wanateketeza shamba hilo kwa moto na kuweza kutembeza kipigo heavy ambacho kinasaidia kuangamiza kundi hilo na kuokoa mabinti hao.
Mwisho Diamond anaweza kutoka na mabinti hao huku vikosi vya usalama vikifika ili kumpa back up, wanakuta kijana kashamaliza kazi.
Script hii ipo, bado kuigizwa tu
Harmonize pia anaweza.Hata Ali Kiba anaweza.
Punguza Chuki kwa Kiba mkuu,chuki haijengi,pambana na maisha yako.
Wewe unayemchukia umezaliwa nae Baba mmoja? nimekuuliza weka hapa kiburi chake,umeshindwa na kuanza kuharisha hovyo tu hapa,acha chuki za kijinga,Wanaume hatupo hivyo,pambana na hali yako.Kwani wewe huyu mmezaliwa baba mmoja au ndio kujipendekeza?
Mimi naonge kitu halisi kozi sio mara mmoja nakutana nae na ninaona anacho wafanyia mashabik zake ana wanyari hio tabia mzuri kwa yeye?
Wewe unayemchukia umezaliwa nae Baba mmoja? nimekuuliza weka hapa kiburi chake,umeshindwa na kuanza kuharisha hovyo tu hapa,acha chuki za kijinga,Wanaume hatupo hivyo,pambana na hali yako.
Mbona unakua na akili nzito hivyo? nimekwambia weka hapa hicho kiburi cha Kiba,badala yake imekua story ndefu naona,au ulitaka tu kufurahisha watu hapa JF?Kwahio ata wewe ukikosea hatupaswi kukuambia hili ujilekebishe?