Diamond Platinumz aibuka kidedea kwa kushinda KORA MUSIC AWARDS


Mkuu una busara saana; tatizo sijui kama wasanii wetu wanapitaga humu
 
I adore diamond and wema! No news without them!!kubari au kataa!yote sawa!
 
mkuu acha uongo,certificate aliyopewa DIAMOND ni cha kuingia kwenye kinyang'anyiro cha kora 20 bora..
 
Kuna picha nimeona amepiga na tuzo yake(mbwa) yenye thamani sawa na Verrosa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…