Diamond Platinumz akiwa na rais wa Gabon

Diamond Platinumz akiwa na rais wa Gabon

Nywele gani sasa hizo diamond?Uwanja wa ndege JNIA kuna Tshirt nzuri za kutangaza 9Tanzania.Nimeishi nchi hizo ukanda wa magharibi Gabon,Togo,Benin,Senegal,Mali,Burkina nk.Wengi hawaifahamu Tanzania.Wanaifahamu Kenya!
 
Wewe kama una likitambi huwezi vaa nguo nzuri, hakuna nguo nzuri kwa mtu mwenye tumbo kubwa, utaishia kulalamika, kaka punguza tumbo hizo nguo utavaa

I can assure you sina kitambi wala siendekezi kunenepa. Nadhani kwa umri wangu siwezi zivaa, ni zenu vijana!!!
 
Usahihi ,Rais wa Gabon akiwa na wasanii mbalimbali namuona Akon,Davido,Diamond na wengineo
Hajasema "Rais wa Gabon akiwa na Diamond bali Diamond akiwa na Rais wa Gabon!"

Diamond hayupo hapo kwa ajili ya akina Davido bali yupo kwa ajili ya Rais wa Gabon kwahiyo ni sahihi kusema "Diamond akiwa na Rais wa Gabon." Isingekuwa sahihi endapo angesema Rais wa Gabon akiwa na Diamond!

Jifunze grama ya Kiswahili!!!!
 
Anawakilisha taifa gani? Katika eneo gani?

Angalieni tulivyopotea!

Alama ya utaifa au utanzania iko wapi hapo?

Utamaduni wa mtanzania ni upi hapo? Kwa hicho kijisuruali amevaa utafikiri anazuia naniliu?

Kwa hvyo alivyoweka kichwa chake kama ndege?

Tanzania ni kubwa na ina utambulisho wake ni heri mngenipeleka na ngoma langu la mdumange!

Itakua vizuri mkisema msanii wa muziki toka Tanzania na sio mwakilishi wa Tanzania,

Tafadhali tuheshimiane
Kazi unayo....
 
Diamond hayupo Gabon kwa ajili ya Rais Bongo bali yupo huko kwa mualiko wa CAF kushiriki uzinduzi wa AFCON kama walivyoalikwa hao wengine
Acha kujitoa akili wewe... nimesema hapo... hapo wapi? Kuna CAF hapo kama sio picha ya pamoja?!

Nilidhani tatizo lako ni Kiswahili pekee kumbe una matatizo makubwa zaidi ya uelewa wa Kiswahili!
 
huyo president havaagi Suti
yeye ni hizo nguo za dizaini ya kifalme kanzu kanzu... sijawahi muona Press Ali Bongo in Suti
halafu inaontesha watu waGabon wanampenda Sana.
na ni MTU mstaarabu.
Namuonaga GyanTv ,au TV Gabon( sijui lakini Kama kweli mstaarabu [emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125])
1a4da6ed8333dbb3bedcaac77ed18e8a.jpg
e2ef1e22583d84aece6bf82c25e5c4a9.jpg
 
huyu kisha potea , hizo fashion zake, nywele, tattoos na hereni karibu utasikia mengine ya tabia mbaya - hizi ndio huwa dalili za kuelekea huko
Mkuu, Mbona ujataja kale katabia kasikopendwa na Mgabe, kakaanza long time
 
Back
Top Bottom