Kabisa. Acha akina porojo waendelee na porojo, kijana wa Tandale Mtogole anapiga pesa tu. Mwenzao Diamond kajenga bungalow Madale na ana swimming pool, wao wamepanga Sinza, banda la uani. Diamond anakesha studio mpaka saa 10 alfajiri, akina 'maneno' wao wanakesha bar wakitumia kidogo walichokopa!Mdogo mdogo tu pesa inaingia
Tatizo ni sasa kijanaWatanzania acheni ushamba wa kuamini kila kitu mnacho ambiwa na hao matapeli mafreemason. Hizi karanga zipo sokon mwaka wa pili huu sasa angalia tarehe hapo chini afu anawadanga kuwa kampuni yake kisa tu imeandikwa diamond si aseme tu kama ni tangazo? Dalili za kuishiwa ndio hizo sasa.
Pambana na hali yakoAtanyooka tu,mziki umekaba,tra nao wanakaba
Ni collabo ya Diamond na Kusaga na ndio maana wote wana-work hard kuitangaza! Kusaga kupitia Clouds na Diamond kupitia social network na umaarufu wake!!Chibu perfume sio za Diamond,pale kauza jina na anatumia kuibrand.
Hongera sana diomond kwani umewaza vyema pia unatumia vyema jina lako kwani soko kubwa utaripataUbuyu wote uko hapa