Diamond Platinumz amiliki gari ya thamani kubwa

Diamond Platinumz amiliki gari ya thamani kubwa

Mkuu, kwani bango ndio nini!??, hao CRDB wenyewe wamekosea, hutakiwi kusema CRDB Bank, unatakiwa useme CRD Bank au useme tu CRDB.

Kaka unapotosha watu neno CRDB si kifupisho cha neno lolote,zamani ilikuwa ni ufupisho wa Cooperative Rural Development Bank lkn walibadili na kufuta hicho kirefu ili ibaki kuwa CRDB tu.Kwa hiyo ni sahihi kusema CRDB BANK PLC,kwa ufafanuzi zaidi nenda kapitie historia ya CRDB Bank usinyweshe watu sumu ukafanya watanzania pamoja na management ya CRDB Bank waonekane mamburula kwa kutumia neno CRDB Bank.
 
Sio kweli CRDB kirefu chake ni Cooperative Rural Development Bank

Kaka zamani ilikuwa hivyo lkn baada ya kuwa restuctured wakaondoa hicho kirefu na sasa inafahamika kama CRDB BANK PLC na kamwe hutasikia wakijitambulisha kama Cooperative Rural Development Bank.
 
Kaka unapotosha watu neno CRDB si kifupisho cha neno lolote,zamani ilikuwa ni ufupisho wa Cooperative Rural Development Bank lkn walibadili na kufuta hicho kirefu ili ibaki kuwa CRDB tu.Kwa hiyo ni sahihi kusema CRDB BANK PLC,kwa ufafanuzi zaidi nenda kapitie historia ya CRDB Bank usinyweshe watu sumu ukafanya watanzania pamoja na management ya CRDB Bank waonekane mamburula kwa kutumia neno CRDB Bank.
Unamaanisha kuwa hizi herufi CRDB hazina maana yeyote!?, Hivi unaweza ukawa na taasisi yenye abbreviation isiyo na kirefu chochote!?
Unataka kusema kabla kirefu chake hakijafutwa( kama unavyodai), walikuwa hawaandiki hivyo hivyo CRDB Bank kwenye mabango yao!?

Kama utetezi wako ni huo kwamba neno CRDB halina kirefu, vipi kuhusu NBC na NMB!?, nayo hayana kirefu!!??
Maana nao wanaandika "NMB Bank".
 
Kaka zamani ilikuwa hivyo lkn baada ya kuwa restuctured wakaondoa hicho kirefu na sasa inafahamika kama CRDB BANK PLC na kamwe hutasikia wakijitambulisha kama Cooperative Rural Development Bank.

Thanks kumbe hayo yangu yalikuwa ya zamani
 
Kaka zamani ilikuwa hivyo lkn baada ya kuwa restuctured wakaondoa hicho kirefu na sasa inafahamika kama CRDB BANK PLC na kamwe hutasikia wakijitambulisha kama Cooperative Rural Development Bank.
Unajua maana ya PLC!?
Kwani kuna benki Tanzania ambayo sio PLC??
 
We mama umeshaanza kuchanganya madawa, jina sio "kilwa road", ni kilwa.
Tunasema barabara ya kilwa, hatusemi barabara ya kilwa road.
Tunasema barabara ya Morogoro, sio ya Morogoro road.

Hata kwa kingereza huwezi kusema" the road of kilwa road" kwa kiswahili sasa ndio utaonekana kituko maana utalazimika kusema "barabara ya kilwa barabara"

bila shaka umeshindwa kumuelewa huyo bi mkubwa ndo maana umeandika hivi.
 
PLC stand for Public Limited Company, benki zote zipo hivyo.Bado cjaelewa point yako ni ipi kuuliza hivyo?
 
Unamaanisha kuwa hizi herufi CRDB hazina maana yeyote!?, Hivi unaweza ukawa na taasisi yenye abbreviation isiyo na kirefu chochote!?
Unataka kusema kabla kirefu chake hakijafutwa( kama unavyodai), walikuwa hawaandiki hivyo hivyo CRDB Bank kwenye mabango yao!?

Kama utetezi wako ni huo kwamba neno CRDB halina kirefu, vipi kuhusu NBC na NMB!?, nayo hayana kirefu!!??
Maana nao wanaandika "NMB Bank".

Kaka naona utaniuliza maswali mengi, me pia nilikuwa nafahamu kama unavyofahamu wewe lkn nilipogundua ukweli nilibadilika.So jaribu kufuatilia utagundua ukweli.
 
PLC stand for Public Limited Company, benki zote zipo hivyo.Bado cjaelewa point yako ni ipi kuuliza hivyo?
Kwa sababu benki zote zipo hivyo, sikuona sababu ya wewe kuweka PLC kama sehemu ya jina la benki.
Ni hayo tu.
 
Msanii wa kizazi kipya diamond platinumz sasa anamiliki gari aina ya land cruiser v8 mpya! Rekodi ambayo Haijawai kuvunjwa na msanii yeyote ktk nchi hii! Ikumbukwe v8 ni gari la kifahari linatumiwa na viongoz wa juu nchini km waziri mkuu na baadhi ya mawaziri ! Inakadiriwa kuwa na dhamani ya mil 300! Ni dhahiri shairi huyo kijana sasa ametoka! ! Hongerasana naseeb!

Ni habari njema ila imekaa mno kishabiki...na kwa mimi mwanainchi wa kawaida ninayeishi huku Nanjilinji nitaishia kumjengea chuku bwana almasi.

Waonaje ungeandika...Bidii na juhudi hutimiza ndoto ya mtu...au Jembe halimtupi mkulima......then ungeendelea...Kufanya kazi kwa bidii, ubunifu na kutoridhika na mafanikio madogo kumemfikisha msanii diamond kwenye orodha ya watu wenye uwezo na sasa anamiliki gari la thamani hiyo........na hili ni somo na muongozo kwa vijana wote wanaotafuta nchini kuwa juhudi itawafikisha mahali mnapotaka.
 
Sembeeee km mziki inatoa basi Mzee ghurumo angekuwa tajiri mno

Wabongo mna matatizo sana....msanii akizishika alafu zikaja zikamuishia...hamuishi kumponda kama mnavyofanyia sasa hivi mr Nice...na msanii akifanya yanayoonekana kama anavyofanya Diamond mnamuita muuza sembe.

Hivi kuna siri gani kwa kazi anazofanya Diamond...show lukuki plus mikataba ya makampuni makubwa....

Wapo wangapi wanaomiliki mali zisizo na maelezo yaliyonyooka mbona hamuwataji ?

........acheni uzushi wabongo.
 
Back
Top Bottom