Mwanaume lakini kutwa kukaa kusutana na wadada
sawa kukimbiza upepowatamkimbiza sana ila watambulia vumbi
Binadamu turudi kwetu hapa wanakuchokoza ili uwajazie page au ujaona mtu mmoja anabandika post 10 kwa. Dakika 2? Kiba anakaribia page ya 70 kule kwetu.
Eheh ehehe, wanatafuta pa kutokea ila wamefeli haooo
Eheh ehehe, wanatafuta pa kutokea ila wamefeli haooo
Daah mwanangu kama we kweli ni mwanaume basi jitathmini kamanda wangu.....!!
Binadamu turudi kwetu hapa wanakuchokoza ili uwajazie page au ujaona mtu mmoja anabandika post 10 kwa. Dakika 2? Kiba anakaribia page ya 70 kule kwetu.
Le mutuz Jana amekuuliza wewe ni Me au Ke .ebu tuambie kwanza
hivi kuna uwezekano wa kulike thread mara milioni moja??
Mkuu umepotea huku Uzi hauendi bora umekuja
Hayaaa
Hapa vipi
Hhhha ina maana hapo mdomo ulienda wapiii,,alivyokua nao ukakuaa,ila siku hiz Domo kapendeza mashaaalah
kachukue nafasi ya wema.
Nishaichukuaa zamani ulikua hujui hilo
basi hongera.
Hapa vipi
Ichukue nawe kama akiba