Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

N handsome pia!
 
Lol! Jamaa naona anapita kule diamond alikopita miaka 47 iliyopita, kavujisha wimbo unaitwa "hela" swali ni je! Wimbo unavuja hadi na cover???? Au mi ndio sielewi maana ya wimbo kuvuja?

duh hii mpya
 

Domo co kilema ndo naana nimemuita, angekua mlemavu nicngemuita hvyo ila ni la kwake na co kilema offcourse ss cjui unalalamika nn? Hilo jina la Domo ni maarufu hapa Dar cjui km ww ndo unackia kwangu, vyombo vya habari vyote wanaliandika hlo jina labda ww ndo mgeni. Ww nn bna Domo kaitwa Busta Rymes ndo akawe diamond!
 

Sikubaliani na wewe MTU kama JOKATA na WEMA ni Warembo kwa vigezo kwan ata miss tz wameshiriki .
 

Achana na Hawa watu wenye wivu WA kike ndio maana wanamwita majina mabaya mwenzao!.
 
Jamaa nasikia ana mguu wa mtoto mdogo,swala la kusimamia kucha sidhani maana wema angekuwa anafikishwa na domo asingeangaika na wakongo,jamaa ana pipe lakini hawezi kulitumia.

wema huko anafata mbesa tu naskia pale ndo anapata kitu roho inapenda mkuno wa nazi kwenye mbuzi
 
kuni la hataree chezea juzi kvalishwa NJUMU YA 1MIL

kijana anajituma sio stejin tu bali KULE ILE KITU TAMU INALIWA

Acheni kumnafikia jamaa kwakua ana hela, nyi wanawake hakuna mtu anae wafaham zaidi ya muumba. Madem ndo walivo mtu akiwa na pesa basa kila kitu yeye anacho, aliimba Mike T alisema angekua star af akawa na mkwanja hata angekia na makov uso mzima madem wangemwita handsome. Huki kitaa madushe tunayo kwakua hatuna pesa yanaonekana mashipa.
 
masai dada Na nyie mmeacha ng'ombe,mmeanza majungu na kutembeza BUMBU Basi maisha yako kasi sana.AISEEE
 
Last edited by a moderator:
Achana na Hawa watu wenye wivu WA kike ndio maana wanamwita majina mabaya mwenzao!.

Lowasa anaitwa mamvi, nyerere aliitwa mchonga, joket anaitwa kidot, ronaldinho anaitwa minjino inamaana hayo majina yametokana na wivu!
 
Baba na babu zetu tu ndo waliobahatika kupata wake,SISI TUKUBALI TU HAKUNA MWANAMKE MSTAABU DUNIA HII. DIRTY MOUTH
 
Zari kaiva. Wanamama tu ndio wanamind dayamondi kutoka na Zari ila wanaume wanatamani wangekuwa wao.
 
Lowasa anaitwa mamvi, nyerere aliitwa mchonga, joket anaitwa kidot, ronaldinho anaitwa minjino inamaana hayo majina yametokana na wivu!

mwambie pia mtu mfupi wanamwita mfupi na mrefu nae wanamwita mlefu na huo nao niwivu
 

unachojaribu kukiongea wewe ni nini
mbona ueleweki nimeandika mistari michache tu umenitolea HOTUBA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…