masai dada
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 16,207
- 14,343
Mie tena ukishanipigia urembo wako wa Longido ule na vidani vya rangi naona kama tuwe Oldonyo Lengai kabisa.
kama tupo on top of mt Oldonyo lengai
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mie tena ukishanipigia urembo wako wa Longido ule na vidani vya rangi naona kama tuwe Oldonyo Lengai kabisa.
Hapana,kama pesa za kuhonga diamond anazo,wema anafata wakongo kwa sababu wakongo wengi wanatumia kasongo 7 kiboko ya kwa bibi,domo mbona kaonga murano ya 36m? Domo ana pipe lakini hajui kuitumia,angejua kuitumia wema asingeangaika kuliwa kwa ajili ya 2m,hizo baby wake domo ana uwezo wa kumpa,anatembeza kwa sababu domo hamkuni,believe that.
Agiza soda kwa mangi nalipia
Na cake au soda tu!
wewe UNAZO PESA??
3. Nasikia pia anasimamia kucha...
Hapana nazisikia tu km wewe unavosikia habari za diamond
ha ha ha ha lol....kwa hiyo una UKAME??
ha ha ha shem si ndo maana nmeandika "nasikia"Shem umethibitisha hizi habari..?
ha ha ha ha lol....
Dr nishajua mambo yako unapenda sana
1GB
kwa hiyo una UKAME??
Haha! una lugha ngumu weye, 1GB ndio nini?
Ndo maana hua haongi ovyo ovyo...watu wanaosimamia kucha hawachunwi ovyo na bado hogo linapangiwa foleni basi tu wanaume hawajui hii siri
maana kasema bila hela hugongi
......kaingia kwenye box
Mm pia namiliki watoto wazuri..
Sina pesa wala umaarufu wowote..
Kitu pekee ni kuwa ninajiamini.
ni sifa ndio huoni huyo ntu hapo anavomind dai kusifiwa na ntamsifia leo hadi bas
Tutakuaminije.........?
Tutakuaminije.........?