Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

Hapana,kama pesa za kuhonga diamond anazo,wema anafata wakongo kwa sababu wakongo wengi wanatumia kasongo 7 kiboko ya kwa bibi,domo mbona kaonga murano ya 36m? Domo ana pipe lakini hajui kuitumia,angejua kuitumia wema asingeangaika kuliwa kwa ajili ya 2m,hizo baby wake domo ana uwezo wa kumpa,anatembeza kwa sababu domo hamkuni,believe that.

Mi najua dai mbahili hatari silaha yake dushe tu...hapo kwenye murano alijitutumua
huyo mcongo ni mbesa tu shem
u
 
Ngoja mgao wa escrow uishe, tutacheza naye kwny mechi zetu za mchangani.
 
Ndo maana hua haongi ovyo ovyo...watu wanaosimamia kucha hawachunwi ovyo na bado hogo linapangiwa foleni basi tu wanaume hawajui hii siri

Katika 100........wanajua 2..........wengine waliobaki kutwa kulalamika wanapigwa mizinga........maniner........simamieni kucha muone kama hamjahongwa nyie........malabuku.........
 
Back
Top Bottom