Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Kuituma ipasavyo kwenye mgegedoHahahaaa kusimamia kucha ndo nini mkuu????????
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuituma ipasavyo kwenye mgegedoHahahaaa kusimamia kucha ndo nini mkuu????????
We Nae !...Mbona Hukauki Mijineno!!?
Ilo Hogo Analibebaje Sasa
Alafu Maneno Mengine Hutakiwi Kuyasikia Tuu....Ni Vizuri Kuthibitisha!
Ahsante Jigo
watu tumesahau kabisa kwamba kuzini ni dhambi
Kuituma ipasavyo kwenye mgegedo
Sasa,hao akina Penny na Wema walikua wanaacha mpaka matumbo yanakua!Hata dai asingesema wadaku wanajua!Ila dah,u can take a person out of Tandale,but u can't take Tandale out of a person!!
ha ha ha shem si ndo maana nmeandika "nasikia"
Ila amekosea sana mi ni fan wa dai ila kwa hili hapana aiiseee.jana niliwaza mimi ndo ningekuwa hyo Penny sijui hta ningefanyaje..hlf kuna kipindi alisema wema kamfundisha english jana kamkana..
source hii hapa: https://www.jamiiforums.com/celebri...gemharibia-midomo-na-sura-za-watoto-wake.html . Na hata mahojiano kupitia Global TV, ameyatia chumvi; kwa mujibu wa Mtandao wa Bongo Movie, summary ni hii hapa:"Hata kutoa mimba ya Diamond amekuwa akisema kwamba kama angezaa naye watoto wake wangekuwa na sura mbaya na midomo ya ajabu".
kisha tena anaendelea:Diamond: Ni kweli napenda watoto lakini siwezi kupata mtoto peke yangu bila mwenzangu. Lazima kuwe na mwenzangu ambaye tutakubaliana.Nilichojifunza ni kwamba wenzangu hawakuwa real (hawakumaanisha) hivyo wakawa wanachengachenga.
akahitimisha:Ukweli Penny ningezaa naye, aliwahi kuniambia ana mimba yangu, sikuamini, nikampeleka hospitali kupima ikawa kweli. Kesho yake niikamnunulia gari, nikamwambia mama tulia. Siku mbili tatu akasema mimba imetoka.
Source: DIAMOND:Wema, Jokate, Penny Hawakutaka Kuzaa Na Mimi Tanzania Movies | Bongo movies | Official bongomovies website .UKisoma hayo maelezo, utagundua kwamba Diamond hajasema kwamba Penny ametoa Mimba bali ni Penny mwenyewe ndio alikuwa anasema mimba imetoka huku marafiki zake wakiwa wameshawahi kutamka tangu zamani kwamba Penny alitoa mimba... na mahojiano rasmi ni haya hapa:Suala la mimba amelizungumzia kuanzia dakika ya tisa....Nikaja nikamjaza kingine cha pili (mimba), nayo baada ya muda akaja kuniambia imetoka. Nikaona huyu mzinguaji, nikammwaga. Lakini iliniuma sana.Kwa wengine (Jokate na Wema) walikuwa wakinichenga tu bila sababu, unamuona huyu hataki kubeba mimba yangu. Mtu kwa mdomo anasema kwamba yuko na wewe kikamilifu lakini kwa matendo unaona siye.
Labda ulipitwa tu na hizi habari... hizi habari zilishaandikwa karibu mwaka sasa na source ilikuwa ni watu wa Penny kwamba Penny alitoa mimba ya Chibu kwa sababu hakutaka kuzaa nae kwa hofu ya watoto kuwa wabaya kama Diamond... but yote kwa yote, hiyo habari hapo juu imepotoshwa... alichosema Diamond ni kwamba Penny mwenyewe ndie alisema mimba ilitoka na si kweli kwamba amesema Penny alitoa mimba yake!Ila amekosea sana mi ni fan wa dai ila kwa hili hapana aiiseee.jana niliwaza mimi ndo ningekuwa hyo Penny sijui hta ningefanyaje..hlf kuna kipindi alisema wema kamfundisha english jana kamkana..
Labda ulipitwa tu na hizi habari... hizi habari zilishaandikwa karibu mwaka sasa na source ilikuwa ni watu wa Penny kwamba Penny alitoa mimba ya Chibu kwa sababu hakutaka kuzaa nae kwa hofu ya watoto kuwa wabaya kama Diamond... but yote kwa yote, hiyo habari hapo juu imepotoshwa... alichosema Diamond ni kwamba Penny mwenyewe ndie alisema mimba ilitoka na si kweli kwamba amesema Penny alitoa mimba yake!
Nimeweka interview husika hapo juu kwenye post #11 na nimeweka hadi link ya hiyo habari ilivyoripotiwa kwa mara ya kwanza hapa hapa JF tangu january kwahiyo hakuna cha kufunika hapo... kama unatumia simu na simu yako ina uwezo wa kuangalia video, just watch it.... na kama unatumia pc, ndo rahisi zaidi... othewise, soma hiyo habari kwenye mtandao wa Bongo Movie!Umeangalia vizuri interview ya dai.hebu upendo wetu kwa dai usifunuke mpk yale mabaya yake na tuwe wakweli..mbona yeye ndo kila siku anaongea shit khs ex wake..mi ni mwanamke so nimeimagine hyo ndo mai ex..Yeye alipaswa kuongelea muziki wake vitu vingine ajifunze kuwa na kifua kwa hili hapana aiseee
ndomo kigeu geu wewe, si ulisema mama ubaya ndo kakufundisha kiingereza wew? mmh acha uchakubimbi wewe nfyuu
Alimpaisha Wema kwenye Mkasi,global tv online kamkana!!Huyu naye mnafiki kimtindo!