kuna ushamba fulani imetawala vichwa vya baadhi watu humu, ukute mleta thread hata dar live hajawahi kufika, na anaungwa mkono na mtu anaishi mwanza naye dar live haijui, huo ndo msingi wa haya matatizo.
Na wengine wameanza juzi tu kufuatilia huu muziki, zamani walikuwa busy na mchiriku/mnanda kwa hiyo hata wakati juma nature anajaza diamond jubilee kubwa wakati anazindua album ya ugali, kiasi kwamba hadi watu walizuiwa kuingia, wao walikuwa kwenye mikesha ya mchiriku.
Ninachoona mimi unachoandika kwenye thread ndio kinakutambulisha ulivyo na upeo wako unakoishia. Angalau uwe unatumia kutafakari kabla ya kupost kitu, vingine vinaweza kukushusha kabisa kama kilichotokea kwa mleta thread hii na wanaomuunga mkono.
Sasa kujaa dar live, tena kwa show ya sikukuu ya kidini nako unakufanya ni maajabu?! Lazima tukudharau.
Ova