Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

ndugu zangu, kuna alieona wale wakiopanga kumzomea prezida leo, i dont like to happen aisee.
Paula, acha wazomee ili wadhihirishe upumbavu wao... manake wakifanya hivyo ndipo watadhihirisha zaidi kwamba wanatawaliwa na chuki... ni mpumbavu tu anayeweza kutumia energy ya kumzomea mtu ambae ameonesha mafanikio makubwa kuliko msanii yeyote East Africa kwa 2014... kwahiyo, let it be and it shouldn't worry you.
 
cha msingi awe tu aware kuwa hao wajinga wajinga watakuwepo, ofcoz ninamwamini kuliko panadal, najua kajipqnga hasa, nimechungulia maandalizi yao pahala, wanatisha, nimependa slogan yao WCB danser afe, almas afe jukwaa libomoke. alafu wadau lets show our maturity wakizomea dont zomea back, sisi zetu zile ni shangwe kwa kwenda stegini.
Heri umeongea mapema coz' I was about to say the same thing.
 
Paula, acha wazomee ili wadhihirishe upumbavu wao... manake wakifanya hivyo ndipo watadhihirisha zaidi kwamba wanatawaliwa na chuki... ni mpumbavu tu anayeweza kutumia energy ya kumzomea mtu ambae ameonesha mafanikio makubwa kuliko msanii yeyote East Africa kwa 2014... kwahiyo, let it be and it shouldn't worry you.
like like like.
 
coaster 10 maeneo ya friends corner kwa ajili ya kwenda kumshangilia Diamond platinum na unapewa buku 5
 
coaster 10 maeneo ya friends corner kwa ajili ya kwenda kumshangilia Diamond platinum na unapewa buku 5
E bwana eh! Coaster 10, na buku tano tano juu... duh! Hii show ya Kigali sijui alikodisha coaster ngapi cjui na hao jamaa waliodata bila shaka walilipwa franc za kutosha!! View attachment 221177What about hii ya Mombasa? MBS.jpg Huyu Chibu kama hakwenda Mombasa na Wasambaa wa Tanga cjui....!!

Karibu mtaani kwetu mpwa, unafikiri kuna vya maana basi>>>TZ1.jpg TZ5.jpg TZ2.jpg TZ10.jpg Ayaaaa! Yaan hapa bado moja tu, dah... Tuzo Ya Nani Mkali Itolewayo na Radio One!!!TZ3.jpg TZ4.jpg TZ8.jpg TZ9.JPG Hivi Mtaani kwenu mnatunyima nini vile?
 
E bwana eh! Coaster 10, na buku tano tano juu... duh! Hii show ya Kigali sijui alikodisha coaster ngapi cjui na hao jamaa waliodata bila shaka walilipwa franc za kutosha!! View attachment 221177What about hii ya Mombasa?View attachment 221178 Huyu Chibu kama hakwenda Mombasa na Wasambaa wa Tanga cjui....!!

Karibu mtaani kwetu mpwa, unafikiri kuna vya maana basi>>>View attachment 221179 View attachment 221181 View attachment 221180 View attachment 221194 Ayaaaa! Yaan hapa bado moja tu, dah... Tuzo Ya Nani Mkali Itolewayo na Radio One!!!View attachment 221182 View attachment 221183 View attachment 221190 View attachment 221192 Hivi Mtaani kwenu mnatunyima nini vile?

duuh huyu jamaa anahonga na kukodi watu ili ashinde tuzo...!!! kumbe kwenye show zake anakodi watu ili ajaze ukumbi teh teh teh...jirani wanaleta visingizio kibao kwi kwi kwi.
 
E bwana eh! Coaster 10, na buku tano tano juu... duh! Hii show ya Kigali sijui alikodisha coaster ngapi cjui na hao jamaa waliodata bila shaka walilipwa franc za kutosha!! View attachment 221177What about hii ya Mombasa?View attachment 221178 Huyu Chibu kama hakwenda Mombasa na Wasambaa wa Tanga cjui....!!

Karibu mtaani kwetu mpwa, unafikiri kuna vya maana basi>>>View attachment 221179 View attachment 221181 View attachment 221180 View attachment 221194 Ayaaaa! Yaan hapa bado moja tu, dah... Tuzo Ya Nani Mkali Itolewayo na Radio One!!!View attachment 221182 View attachment 221183 View attachment 221190 View attachment 221192 Hivi Mtaani kwenu mnatunyima nini vile?

Hivi tamasha huwa linajazwa na mwanamuziki mmoja au mimi ndio sielewi?

Basi leo Diamond atafunika maana wahudhuriaji watakuwa wengi msisahau kupiga picha na kuzihifadhi.
 
duuh huyu jamaa anahonga na kukodi watu ili ashinde tuzo...!!! kumbe kwenye show zake anakodi watu ili ajaze ukumbi teh teh teh...jirani wanaleta visingizio kibao kwi kwi kwi.

ChingaOne u killed it. hahahahaha mwenye akili atanyamaza
 
Last edited by a moderator:
Hapa hapanifai kabisa!!! Nawaona tu akina wema,kidoti,zari'penny,aunt ,naj na watu kama hao
 
Huwezi kujizuia kusikia mziki mzuri. Diamond anafanya mziki mzuri na hawacheleweshi mashabik wake.

Ana uwezo wa kutoa hits kila mwezi.

Unamchukia ila hujizuii msikiliza. Hii ndo sifa kubwa ya msanii bora.

Kutoa hits kila mwez ni mpango na ratiba ya mhusika,mwana dar hanaga tabia ya kutoa hits kila mwez tangu aanze game enzi zilee za tape alikiba 4 #real
 
Last edited by a moderator:
Ndio atakuja lakini hatofikia ubora na sifa ya diamondi. Nisawa kulinganisha ubora wa nabii Musa na Ibrahim. All are prophets but they differ each other according to there traits and vocation to serve God.

Hazikutoshi
 
E bwana eh! Coaster 10, na buku tano tano juu... duh! Hii show ya Kigali sijui alikodisha coaster ngapi cjui na hao jamaa waliodata bila shaka walilipwa franc za kutosha!! View attachment 221177What about hii ya Mombasa?View attachment 221178 Huyu Chibu kama hakwenda Mombasa na Wasambaa wa Tanga cjui....!!

Karibu mtaani kwetu mpwa, unafikiri kuna vya maana basi>>>View attachment 221179 View attachment 221181 View attachment 221180 View attachment 221194 Ayaaaa! Yaan hapa bado moja tu, dah... Tuzo Ya Nani Mkali Itolewayo na Radio One!!!View attachment 221182 View attachment 221183 View attachment 221190 View attachment 221192 Hivi Mtaani kwenu mnatunyima nini vile?

lazima wakae
 
Hivi tamasha huwa linajazwa na mwanamuziki mmoja au mimi ndio sielewi?

Basi leo Diamond atafunika maana wahudhuriaji watakuwa wengi msisahau kupiga picha na kuzihifadhi.
Tamasha lipi tena Matola? Unazungumzia la Kigali au Mombasa? Afu mbona swali rahisi tu... sie twawanyima hayo kwenye picha... hayo masuala ya tamasha unasema wewe... wenzetu mwatunyima nini huko mtaani kwenu?
 
Hivi tamasha huwa linajazwa na mwanamuziki mmoja au mimi ndio sielewi?

Basi leo Diamond atafunika maana wahudhuriaji watakuwa wengi msisahau kupiga picha na kuzihifadhi.
Haloo! Jamaa anatisha bhana, usifanye mcheso... show ya Mombasa alikodi 65 seaters kama ishirini hivi... na hii tabia yake ya kuhonga ili apate tuzo sio fair kabisa.
 
E bwana eh! Coaster 10, na buku tano tano juu... duh! Hii show ya Kigali sijui alikodisha coaster ngapi cjui na hao jamaa waliodata bila shaka walilipwa franc za kutosha!! View attachment 221177What about hii ya Mombasa?View attachment 221178 Huyu Chibu kama hakwenda Mombasa na Wasambaa wa Tanga cjui....!!

Karibu mtaani kwetu mpwa, unafikiri kuna vya maana basi>>>View attachment 221179 View attachment 221181 View attachment 221180 View attachment 221194 Ayaaaa! Yaan hapa bado moja tu, dah... Tuzo Ya Nani Mkali Itolewayo na Radio One!!!View attachment 221182 View attachment 221183 View attachment 221190 View attachment 221192 Hivi Mtaani kwenu mnatunyima nini vile?

hahahaaaaaa chinge we mbayaaaaaa.. unanikoshaga hapo tu
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom