Paula, acha wazomee ili wadhihirishe upumbavu wao... manake wakifanya hivyo ndipo watadhihirisha zaidi kwamba wanatawaliwa na chuki... ni mpumbavu tu anayeweza kutumia energy ya kumzomea mtu ambae ameonesha mafanikio makubwa kuliko msanii yeyote East Africa kwa 2014... kwahiyo, let it be and it shouldn't worry you.ndugu zangu, kuna alieona wale wakiopanga kumzomea prezida leo, i dont like to happen aisee.
Heri umeongea mapema coz' I was about to say the same thing.cha msingi awe tu aware kuwa hao wajinga wajinga watakuwepo, ofcoz ninamwamini kuliko panadal, najua kajipqnga hasa, nimechungulia maandalizi yao pahala, wanatisha, nimependa slogan yao WCB danser afe, almas afe jukwaa libomoke. alafu wadau lets show our maturity wakizomea dont zomea back, sisi zetu zile ni shangwe kwa kwenda stegini.
waiting for someone's downfall... poleni sana wapwa!Kwenye maisha unapaswa kujifunza na kujitafakari. Jibu mtalipate Zari akishakamilisha mission yake. Ni swala la muda tu.
like like like.Paula, acha wazomee ili wadhihirishe upumbavu wao... manake wakifanya hivyo ndipo watadhihirisha zaidi kwamba wanatawaliwa na chuki... ni mpumbavu tu anayeweza kutumia energy ya kumzomea mtu ambae ameonesha mafanikio makubwa kuliko msanii yeyote East Africa kwa 2014... kwahiyo, let it be and it shouldn't worry you.
waiting for someone's downfall... poleni sana wapwa!
Ndo leo mida ya sa 8 fresh.
E bwana eh! Coaster 10, na buku tano tano juu... duh! Hii show ya Kigali sijui alikodisha coaster ngapi cjui na hao jamaa waliodata bila shaka walilipwa franc za kutosha!! View attachment 221177What about hii ya Mombasa?coaster 10 maeneo ya friends corner kwa ajili ya kwenda kumshangilia Diamond platinum na unapewa buku 5
E bwana eh! Coaster 10, na buku tano tano juu... duh! Hii show ya Kigali sijui alikodisha coaster ngapi cjui na hao jamaa waliodata bila shaka walilipwa franc za kutosha!! View attachment 221177What about hii ya Mombasa?View attachment 221178 Huyu Chibu kama hakwenda Mombasa na Wasambaa wa Tanga cjui....!!
Karibu mtaani kwetu mpwa, unafikiri kuna vya maana basi>>>View attachment 221179 View attachment 221181 View attachment 221180 View attachment 221194 Ayaaaa! Yaan hapa bado moja tu, dah... Tuzo Ya Nani Mkali Itolewayo na Radio One!!!View attachment 221182 View attachment 221183 View attachment 221190 View attachment 221192 Hivi Mtaani kwenu mnatunyima nini vile?
E bwana eh! Coaster 10, na buku tano tano juu... duh! Hii show ya Kigali sijui alikodisha coaster ngapi cjui na hao jamaa waliodata bila shaka walilipwa franc za kutosha!! View attachment 221177What about hii ya Mombasa?View attachment 221178 Huyu Chibu kama hakwenda Mombasa na Wasambaa wa Tanga cjui....!!
Karibu mtaani kwetu mpwa, unafikiri kuna vya maana basi>>>View attachment 221179 View attachment 221181 View attachment 221180 View attachment 221194 Ayaaaa! Yaan hapa bado moja tu, dah... Tuzo Ya Nani Mkali Itolewayo na Radio One!!!View attachment 221182 View attachment 221183 View attachment 221190 View attachment 221192 Hivi Mtaani kwenu mnatunyima nini vile?
duuh huyu jamaa anahonga na kukodi watu ili ashinde tuzo...!!! kumbe kwenye show zake anakodi watu ili ajaze ukumbi teh teh teh...jirani wanaleta visingizio kibao kwi kwi kwi.
Huwezi kujizuia kusikia mziki mzuri. Diamond anafanya mziki mzuri na hawacheleweshi mashabik wake.
Ana uwezo wa kutoa hits kila mwezi.
Unamchukia ila hujizuii msikiliza. Hii ndo sifa kubwa ya msanii bora.
Ndio atakuja lakini hatofikia ubora na sifa ya diamondi. Nisawa kulinganisha ubora wa nabii Musa na Ibrahim. All are prophets but they differ each other according to there traits and vocation to serve God.
E bwana eh! Coaster 10, na buku tano tano juu... duh! Hii show ya Kigali sijui alikodisha coaster ngapi cjui na hao jamaa waliodata bila shaka walilipwa franc za kutosha!! View attachment 221177What about hii ya Mombasa?View attachment 221178 Huyu Chibu kama hakwenda Mombasa na Wasambaa wa Tanga cjui....!!
Karibu mtaani kwetu mpwa, unafikiri kuna vya maana basi>>>View attachment 221179 View attachment 221181 View attachment 221180 View attachment 221194 Ayaaaa! Yaan hapa bado moja tu, dah... Tuzo Ya Nani Mkali Itolewayo na Radio One!!!View attachment 221182 View attachment 221183 View attachment 221190 View attachment 221192 Hivi Mtaani kwenu mnatunyima nini vile?
Tamasha lipi tena Matola? Unazungumzia la Kigali au Mombasa? Afu mbona swali rahisi tu... sie twawanyima hayo kwenye picha... hayo masuala ya tamasha unasema wewe... wenzetu mwatunyima nini huko mtaani kwenu?Hivi tamasha huwa linajazwa na mwanamuziki mmoja au mimi ndio sielewi?
Basi leo Diamond atafunika maana wahudhuriaji watakuwa wengi msisahau kupiga picha na kuzihifadhi.
Haloo! Jamaa anatisha bhana, usifanye mcheso... show ya Mombasa alikodi 65 seaters kama ishirini hivi... na hii tabia yake ya kuhonga ili apate tuzo sio fair kabisa.Hivi tamasha huwa linajazwa na mwanamuziki mmoja au mimi ndio sielewi?
Basi leo Diamond atafunika maana wahudhuriaji watakuwa wengi msisahau kupiga picha na kuzihifadhi.
E bwana eh! Coaster 10, na buku tano tano juu... duh! Hii show ya Kigali sijui alikodisha coaster ngapi cjui na hao jamaa waliodata bila shaka walilipwa franc za kutosha!! View attachment 221177What about hii ya Mombasa?View attachment 221178 Huyu Chibu kama hakwenda Mombasa na Wasambaa wa Tanga cjui....!!
Karibu mtaani kwetu mpwa, unafikiri kuna vya maana basi>>>View attachment 221179 View attachment 221181 View attachment 221180 View attachment 221194 Ayaaaa! Yaan hapa bado moja tu, dah... Tuzo Ya Nani Mkali Itolewayo na Radio One!!!View attachment 221182 View attachment 221183 View attachment 221190 View attachment 221192 Hivi Mtaani kwenu mnatunyima nini vile?
Usiniambie! Na mimi unanikoshaga kwa kuja kimya kimya tu!!hahahaaaaaa chinge we mbayaaaaaa.. unanikoshaga hapo tu