Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa


Mmmh mtu ukirudi tena ujue una roho ngumu hatari.
 

hahahaaaaaa chige wewe ni nyokooo, u made my evening kwa kweli umemkomeshaje, embu wakandae sauti za kuzomea huko maana za kushangilia tunazo sisi.
 
Last edited by a moderator:
Mmmh mtu ukirudi tena ujue una roho ngumu hatari.
buhahahahaaaaaaa, unajua nashindwa kuzuia kicheko, wana roho za paka hao, stresss ugonjwa mbaya sana, can u image sie twapanga kushangilia full kuburudika na vitu flani hivi amazing toka kwa LE PREZIDENTIIII alafu wao eti wanajipanga kuzomea, hivi ilikiwaje wakajikuta wote wanaakili zinazofanana?? maskini hadi wanaonea huruma yaani.
 
ahahahahahahahahahahahahahahahahahaaaaaaa kwikwi kwi kwi kwi kwoooo, koho koho koho kohooooooooooooo sijawahi kucheka kama leo chige???? sikutakiiii
 
Last edited by a moderator:
Wana akili zinazofanana kwa kuwa wana maradhi yanayofanana... kupenda visivyopendeka, chuki, wivu, husuda, majungu, fitina, wapo standby kusubiria kuona downfall za wengine, kwa miaka kadhaa sasa wana "tuzo" moja tu, inaitwa "Nani Zaidi" inayoendeshwa na Abdallah Mwaipaya wa Radio One! Ni tuzo pekee duniani ambayo haijasajailiwa popote na mshindi hapewi chochote...
 
Leo uswazi wamepikiwa ubwabwa na kupakiwa kwenye coaster na buku tano juu.
Hivi huoni busara kama hizo taarifa ungepeleka kwingine? manake tulio kwenye uzi huu woooooooote tulikuwa kwenye hizo coaster na kulamba buku tano tano kwahiyo kuja kutuambia wakati tulikuwa humo ni kupoteza muda wako!
 
vipi hapo unapokaa hakuna kituo cha polisi karibu ili ukashtaki?
Tena mweleze kama hafahamu wahusika mimi ni mmoja wao... nilipakiwa kwenye coaster, nikapiga ubwabwa na buku tano juu lakini pamoja na yote hayo, am too smart katika kutofautosha kati ya Eksi na Kuzidisha, msalaba na kujumlisha na hivo sipo kabisa kwenye kundi la wajinga wanaodhani 1+1 = 11 !!
 
Hivi huoni busara kama hizo taarifa ungepeleka kwingine? manake tulio kwenye uzi huu woooooooote tulikuwa kwenye hizo coaster na kulamba buku tano tano kwahiyo kuja kutuambia wakati tulikuwa humo ni kupoteza muda wako!

Kwingine mtaa gani?kanunue kitumbua hyo buku 5 lako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…