Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

Jamani tusiwe tu wachoyo wa kusifu panapostahili, napenda nimpe sifa DIAMOND PLATINUMZ , yeye anafanya blog nyingi zina-generate traffic ya kutosha kwa sasa, yeye ndie aliefanya kikubwa hadi bongo flava inaanza au imeanza kutoboa kimataifa, yeye ndie aliewafumbua kwa kiasi kikubwa wabongo flava wenzake ,yeye ndie aliyeitangaza vyema nchi nje ya mipaka kupitia mziki wake....na mengine siwezi kuyamaliza., kwa upande wa elimu ni form four tu lakini anafanya makubwa ambayo kwa wasomi wengi wa bongo ni ndoto za alinacha, hatokei masaki,anatokea tandale......kwangu mimi ni mbongo-flava ambae ni BEST ALL THE TIME!
 

Diamond are forever
 
Ukwel kuhusu Diamond kupigwa risas
 

Attachments

  • 1427403127013.jpg
    41.8 KB · Views: 222
Mondi anataka ruhusa ya mashabiki tu atoe video mpya team ndimu mpo???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…