Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

unalazimiiisha kutukanwa, hahahahaa...! Hutukanwi, humu kwetu tuna utaratibu mzuri wa kuishi na watu, tunakujibu kwa facts ubaki unatokwa povu mwenyewe

Facts?? Kuna facts hata moja uliyoweka??

Niliyoiona ni iyo ya kuita majina ya watu ambayo siyo fact ni ujinga
Nyingine ni ipi naona tu anatisha anatisha labda anatisha kwa lile domo lake na viguru Baja vyake
 
unalazimiiisha kutukanwa, hahahahaa...! Hutukanwi, humu kwetu tuna utaratibu mzuri wa kuishi na watu, tunakujibu kwa facts ubaki unatokwa povu mwenyewe



Labda na nyingine kubwa kuvaa vipedo vya dadake
 

Attachments

  • 1427657515489.jpg
    61.2 KB · Views: 75
 
 
Mwenzio kaiona iyo link??
we huna akili, nimegundua napoteza muda tu hapa..! Eti "mwenzio kaiona hiyo link?" ndo nini sasa? unajaza nzi tu humu..! Kijiji gani unatokea asee? huko ambako swali na linapoulizwa hakuna relevance?
 
we huna akili, nimegundua napoteza muda tu hapa..! Eti "mwenzio kaiona hiyo link?" ndo nini sasa? unajaza nzi tu humu..! Kijiji gani unatokea asee? huko ambako swali na linapoulizwa hakuna relevance?



Kweli unapoteza muda wako maana naona kama huna kazi vile wewe lazma utakua unafanya kazi saloon maana ndo kwenye wambea wenzako
 
Kweli unapoteza muda wako maana naona kama huna kazi vile wewe lazma utakua unafanya kazi saloon maana ndo kwenye wambea wenzako

wewe mwenyekazi hum unafanya nn???? huu uzi ni maaalum kwa mashabiki wake wewe kwa kukukumbusha tu humu hapakufai
 
This line, "Zingifuri zingifuri, ungezinga mahala ukakaa, uso mila desturi, usojua tongozwa ukakataa, wajitia mashuhuri, kumbe chaka umechakaa agaaah....! The best song writer, keep it bro.
 
Huo ndiyo ukweli enyi mashabiki kindakindaki!
Diamond baada ya nyimbo ya 'my number one' sijawahi kuona kipya kutoka kwake zaidi ya kubabaika tu! Juzi kaamua kufunga kazi na walah kwa ile video nawasubiri basata (kama waliweza kuifungia ya Snura, mimi kwa thatha kimyaa! )

Ukweli ni kuwa kabla Diamond hajatoa 'my number one' alikuwa alitoa mfululizo wa nyimbo mzuri tu! Ila baada ya hiyo sijui ndo kajiloga?

Nataka kujua mashabiki kama watapigia kura jina au kwakuwa kavuma na skendo ya Zari ze boss lady!
👀👀👀👀👀👀👀👀
 
HOngera kijana kwa upenzi wa kimya kimya
 
Hivi wale majimama ya kwenye video wanapatikana Wapi? Yamenikosha sana yale
 
Nani alikuambia Diamond anafanya muziki kwa ajili ya tuzo? Au ni mwanamuziki au msanii gani aliwahi kupata tuzo kila mwaka katika kipindi chake chote cha usanii?!
 
jamaa siku izi hana jipya kua mkweli tu. toka my no 1 itoke hana ishu tena......arudi kwenye stlye yake iliyomtoaga aache kubabaisha
 
Nani alikuambia Diamond anafanya muziki kwa ajili ya tuzo? Au ni mwanamuziki au msanii gani aliwahi kupata tuzo kila mwaka katika kipindi chake chote cha usanii?!
Huo ndo ukweli kaka! Labda apate ya Zari!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…