BansenBurner
JF-Expert Member
- Feb 16, 2015
- 6,810
- 5,773
Tehe teheeee utaelewa tuu.
Duniani wapi wasipomjua kiba?
VOTE FOR DAVIDO.
Yaani nikiingia huko IG nasikia raha sana team wema team kidoti team ivan team kiba wote ni mwendo wa vote for davido.
Hebu fafanua
Yaan hapo wanaona wivu zari kukatwa na chibu....au unataman we cute
Nasikiliza XXL hapa fetty kwa Mdomo wake amesema hakubali tuzo ya Kiba as mtumbizaji bora Ingemfaa Diamond. Tune on XXL
Sawa ila cic ni wa2mbuizaji wa kimataifa eeeeh@cute
Aaah okay ila mtoto anafanana na jay zkulikuw na rumors n some proofs kuwa beyonce hakuwa mjazito.The kid alikuwa adopted kwa kuzingatia mambo mengi na usiri mkubwa. Yeye mwenye anasema kwenye ule wimbo wa count down alikuwa mimba ua miez 6
kuna some facts na proofs kadhaa zingine zilinishawishi sana
Aaah okay ila mtoto anafanana na jay z
Yeah, hilo lilikuwa swali ,nililojiuliza ila kina jamaa aliwah sema haya. Inawezekana kutafuta mtoto kwa kuangalia wazaz walivyo then kukiw na resemblenc unayotak kid anawez ufanano akaw adoptd (aint sure about this). Pia inawezeka Jiga alipand mbegu somewhere hili likaw tunda. Maana ishu unazo ziona kwa Wema kwa beync zilikuwepo.
Pata sana miscariage n etc.....
Ukigugo unaweza pata kitu
Haujui waongo huwa hawakosekani kutafuta kiki?