Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

Duuuuuh kweli sikio la kufa halisikii dawa, haya wazalendo endeleeni na nyodo hivyo hivyo
 
Kuhusu kusema ndimu lazima awaambie hivi huoni kila siku dogmbwa anamyotukana Daimond kila siku Hua huzioni inafikia muda nae anachoka anaona awalishe ndimu na malimau kumbuka ni mtu kama wewe huyo sema ye ni star
Baba yake alimtelekeza hakujua thamani yake ,Kuna ubaya nae akimuacha aende zake,ingekua ni laana basi hata Leo Daimond asingefanikiwa kama ni hivyo kumbuka mola ndio mgawa ridhiki sio nyie binadam wenye kuhukumu Tu
Huyo ni star lazima aanike au asianike ni hiyari yake mbona instagram Kuna watu wanaanika vitu hamuwasemii
mwisho usimlinganishe Daimond na huyo mbebwaji wa wanawake maex wa Daimond (makombo) ,mlinganishe na shilole au misukule yake humu ,
Nadhan mmenielewa halaf sio lazima sanaaa mtu kuniqoute

hahhahaaaaaa.....!
leo umeshikwa pabayaa...!!
woyooooo!!!
diamond ni msaniii km wasaniii wengine huko alikofika hapa TZ wapo waliofika kabla yakeeeeeee......

so pliizzzzzz calm down babyyyyyyy!!!!!!
 
Duuuuuh kweli sikio la kufa halisikii dawa, haya wazalendo endeleeni na nyodo hivyo hivyo

Jamani zingifuri anajua kunikomeshea watu jamani. Walizoea kila siku zingifuri anatuandika tuu fans wa kiba leo katoa somo zuri sana.
Nimegundua kati ya fans wa domo zingifuri tuu ndo ana akili halaumu tuu anatafuta na chanzo.
 
Jamani zingifuri anajua kunikomeshea watu jamani. Walizoea kila siku zingifuri anatuandika tuu fans wa kiba leo katoa somo zuri sana.
Nimegundua kati ya fans wa domo zingifuri tuu ndo ana akili halaumu tuu anatafuta na chanzo.

wamezoea vya kunyongaa...!!
 
Heeeeeee huyu ni zingifuri ninayemjua mimi? Ebu nifah ujege na huku Ms.Lincoln Avemaria Diva Beyonce [MENTION=94114][/MENTION] Mrembo by Nature Matola The Name pwilo geniveros njooni wote jaman msikose huu ushauri.
Kumbe wanajua sababu eee kazi kwao

Bora hata kaongea ukweli kwa timu yake mana mchawi wa mtu ni mtu mwenyewe.
Timu yake kazi kulaani na kulalamika daily.Hawafanyii kazi chanzo cha tatizo msanii yoyote laxma kuwa makini na kauli kamwe huwezi kuwalambisha ndimu mashabiki lazima uumie tu.
Sijawahi ona msanii anayewalambisha ndimu ma fans hafu utegemee wakupe support.
Hyo tabia ya kuita wanawake makombo na kujibishana nao ndo inayompoteza mana wale ndo mashabiki wakubwa.
Ka anajiona kidume aendelee kulambisha watu ndimu atajajutraaaaaaa.
 
Last edited by a moderator:
Duh wewe unalako

Mbona hauna haibu kukaa chini na kumwandikia gazeti, wakati yupo Tandale anauza mitumba mbona haukumwandikia gazeti.

Unapomsema mtu na kusema alifanya hivi na vile

Shusha

Time
Eneo
Alimwambia nani majina
Nani akaja viongea

Unakuja na gia eti fan mkubwa umeshindwa kumwandikia kwenye e-mail?

Yaleyale tu
 
Wew zingifuri umemshauri kweli ila mimi kura yangu hapati ng'ooooooo mpaka aombe msamaha

Hata usipopiga aimaanishi huyo mwingine atapaaaaa unajua amuwezi kumfikia kaa na roho mbaya kamsome bikra wa kisukuma insta amewahitaje
 
Last edited by a moderator:
usiseme wazazi wa kike wanavutia kwao , hata kama mwanamke umemuacha hukumuoa kwanini mtoto usimtunze kwakushirikiana na mama yake. sidhan kama mungu atamuadhibu daimond kwa jambo hilo kumtafuta mtu baada ya mafanikio sio faraja kwa mungu pia
 
Ni kama vile unashadadia account ya pili ya JF.

Hata usipopiga aimaanishi huyo mwingine atapaaaaa unajua amuwezi kumfikia kaa na roho mbaya kamsome bikra wa kisukuma insta amewahitaje
ivi wew una kunyavkunya nini? Kwa hiyo ulitaka zingifuri asimshauri bosi wake?
Peleka uko minyoo safura. Roho yangu mbaya sikatai yako kaitundike dukani ufanye biashara kama ni nzuri upooo? Bikira wa kisukuma ndio nani? Kamsome wew mimi sina tym bibie. zingifuri kanisaidia kunikomeshea watu jamani loooh
 
Last edited by a moderator:
Duh wewe unalako

Mbona hauna haibu kukaa chini na kumwandikia gazeti, wakati yupo Tandale anauza mitumba mbona haukumwandikia gazeti.

Unapomsema mtu na kusema alifanya hivi na vile

Shusha

Time
Eneo
Alimwambia nani majina
Nani akaja viongea

Unakuja na gia eti fan mkubwa umeshindwa kumwandikia kwenye e-mail?

Yaleyale tu

Mfa maji haishi kutapatapa na badooo mapovu yatakutoka mwaka huu mpaka ujue msanii kujiheshimu maana yake ni nini.
Eti unajikuta mbishiii eti taja muda eneoo jahahaaaaaa booongo bhanaaaa.
 
Bora hata kaongea ukweli kwa timu yake mana mchawi wa mtu ni mtu mwenyewe.
Timu yake kazi kulaani na kulalamika daily.Hawafanyii kazi chanzo cha tatizo msanii yoyote laxma kuwa makini na kauli kamwe huwezi kuwalambisha ndimu mashabiki lazima uumie tu.
Sijawahi ona msanii anayewalambisha ndimu ma fans hafu utegemee wakupe support.
Hyo tabia ya kuita wanawake makombo na kujibishana nao ndo inayompoteza mana wale ndo mashabiki wakubwa.
Ka anajiona kidume aendelee kulambisha watu ndimu atajajutraaaaaaa.

Na atakoma mwaka huu ngoja kwanza makombo akachukue ubunge wa viti maalum tuone sasa.
 
Kuhusu kusema ndimu lazima awaambie hivi huoni kila siku dogmbwa anamyotukana Daimond kila siku Hua huzioni inafikia muda nae anachoka anaona awalishe ndimu na malimau kumbuka ni mtu kama wewe huyo sema ye ni star
Baba yake alimtelekeza hakujua thamani yake ,Kuna ubaya nae akimuacha aende zake,ingekua ni laana basi hata Leo Daimond asingefanikiwa kama ni hivyo kumbuka mola ndio mgawa ridhiki sio nyie binadam wenye kuhukumu Tu
Huyo ni star lazima aanike au asianike ni hiyari yake mbona instagram Kuna watu wanaanika vitu hamuwasemii
mwisho usimlinganishe Daimond na huyo mbebwaji wa wanawake maex wa Daimond (makombo) ,mlinganishe na shilole au misukule yake humu ,
Nadhan mmenielewa halaf sio lazima sanaaa mtu kuniqoute

hahahhahahahahaha.....we noma sana
 
Hata usipopiga aimaanishi huyo mwingine atapaaaaa unajua amuwezi kumfikia kaa na roho mbaya kamsome bikra wa kisukuma insta amewahitaje

Sasa bikira wa kisukuma nae si mtu kama wewe,alichoandika ndio cha maana sana?! Kwahyo hata akiandika utumbo basi tusapoti tu?! Suala sio kupanic ama kuleta hasira,someni muelewe kisha mfanye maamuzi sahihi.
 
Duuuuuh kweli sikio la kufa halisikii dawa, haya wazalendo endeleeni na nyodo hivyo hivyo

kwiii kwiiiii kwiiiii hellooooooooooww!!!

Subiri dai ashinde ndo tutaelewana vizuri humu ndani teh! teh!...saa hivi si tunaonekana wachawi???
Kuna watu wanasema tutaficha sura ila mie yangu itakuwa availabe 24/7......kushuhudia uzalendo ulivyo na rangi saba.
 
Kuhusu kusema ndimu lazima awaambie hivi huoni kila siku dogmbwa anamyotukana Daimond kila siku Hua huzioni inafikia muda nae anachoka anaona awalishe ndimu na malimau kumbuka ni mtu kama wewe huyo sema ye ni star
Baba yake alimtelekeza hakujua thamani yake ,Kuna ubaya nae akimuacha aende zake,ingekua ni laana basi hata Leo Daimond asingefanikiwa kama ni hivyo kumbuka mola ndio mgawa ridhiki sio nyie binadam wenye kuhukumu Tu
Huyo ni star lazima aanike au asianike ni hiyari yake mbona instagram Kuna watu wanaanika vitu hamuwasemii
mwisho usimlinganishe Daimond na huyo mbebwaji wa wanawake maex wa Daimond (makombo) ,mlinganishe na shilole au misukule yake humu ,
Nadhan mmenielewa halaf sio lazima sanaaa mtu kuniqoute

Mambo?
Mi nmekuquote....teh teh teh!
 
Back
Top Bottom