Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

#Nagharamia# ni nyimbo ambayo wasanii wawili wanashindana kupandandisha sauti haiwezi kumtisha diamond hata kidogo

Zile zinaitwa KEY wachache wenye uwezo ule na ni wachache wanaoweza kupanda namna ile ukilazimisha unaweza kukohoa Santa au kujamba au haja kubwa
 
wambie hao Kidingi(fatherly).
Maajabu atakayoyafnya platnumz nyi twendenu tu.!!!
 
Last edited by a moderator:
wambie hao Kidingi(fatherly).
Maajabu atakayoyafnya platnumz nyi twendenu tu.!!!

Chibu ni mtu mbaaaaya sana.. Ndani mizigo ni mitatu yenye video tayari, na ninachomkubali hana ushamba kama team mchangani kwamba anavyoshoot anapigapiga mipicha yeye kitu kashoot kimetulia anasubiri wakati wa kuchagua ipi afumue

Mfano mwepesi NANA alishoot mwaka jana 2014 walipoenda tuzo za MTV (ilikuwa july) ila akaja kutoa mwaka huu 2015 may ilikuwa ni kuangalia tu nitoe kipi kwa muda upi.

Sasahivi tunaipa muda aiyola, ikifika tar 25 hivii dude linaachiwa
 
Last edited by a moderator:
Kuna msanii nliye mkubali ka Bin Wasafi nazani hakuna.Bado tupo naye na tutakuwa nae alipo tupo,tulipo yeye yupo,kosa yeye Mziki wetu usingefika mbali kama sasa naye bin dangote ni mwanzili shi wa kila kitu kwa mziki wa sasa.
Roho mbaya kama nini!
 

Hahaaaaaaaaa 😂😂😂😂😂😂😂 huwezi amini nimekucheka balaa huku niliko..Nimekutusi pia kimoyomoyo.. Anyways.. Nasikia Video ya ngoma yenu mpya mmeshindwa kumalizia chapaa a.k.a kimango so jamaa kakaza hawapi hadi mmalizie chambi zilizosalia? And BTW..hivi unataarifa Nagharamia imeshindwa hata kuipiku collabo ya Christian Bella na Linnah na ile ya Kassim Mganga pia? 😂😂😂😂 pole sana
 
Yupo Nigeria sasa hivi,ameenda kwenye tuzo za AFRIMA za huko Nigeria.
 

Kwndraaaaa domo kitu ghanii
 
Last edited by a moderator:
Support sio yeye tu analalamika hata domo analalamika watu hawampi support wanangoja watoe hongera tu
So unafiki upo tu katika bongo fleva #nagharamia
 
Last edited by a moderator:
Mbona mnatukana sana team domo mbona nyinyi mnaanzisha thread za kijinga tuna vunga
Kiki zote zimeisha mjini sijui atatumia kiki gani tena ili atoke maana kwa kiki yule jamaa tungeshamsahau kama sio kiki
 
Mbona mnatukana sana team domo mbona nyinyi mnaanzisha thread za kijinga tuna vunga
Kiki zote zimeisha mjini sijui atatumia kiki gani tena ili atoke maana kwa kiki yule jamaa tungeshamsahau kama sio kiki

hahahahaha umenikumbusha bwana misosi nitoke vipi

Kijana Diamond level aliyopo unaielewa vizuri sana, unajuwa vizuri kila anachofanya lazima kivunje rekodi yake..

Tuliaa, vitu vizuri viendelee kuflow, maji hufuata mkondo wake na sasahivi media tour hatufanyi Africa tena tunaenda marekani!!!!
 
Support sio yeye tu analalamika hata domo analalamika watu hawampi support wanangoja watoe hongera tu
So unafiki upo tu katika bongo fleva #nagharamia

Sawaaaa, ila unaweza ukaangalia hata kwa kulinganisha aiyola ya harmonize na nagharamia jinsi mastaa walivyokuwa wanatoa support utaelewa nini nilizungumza..
 
Domo aka Mr President..

Muulize King kiba akienda nchi za nje huwa anawaelezea vipi Tanzania, lazima useme Diamondplatnumz country ndio wanakuelewa!!

Aaahhh wapiiiii kiba ndio mpango mzimaaaa
 
Kumuongelea diamond ni kuumiza Kichwa tu bure mana sio wa kushuka Leo wala kesho wala mtondogoo labda kdg 2020 atakua anamuachia harmonize aendeleze jahazi yeye apumzike
 
Kumuongelea diamond ni kuumiza Kichwa tu bure mana sio wa kushuka Leo wala kesho wala mtondogoo labda kdg 2020 atakua anamuachia harmonize aendeleze jahazi yeye apumzike

Tena 2020 mapema sanaa! maana atakuwa kwenye miaka kama 31 hiviii hapo ndio atakuwa kwenye fire vibaya mnoooo, labda 2025 hivii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…