Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

DIAMOND PLATNUMZ yupo live ndani ya MAGIC FM kutambulisha wimbo wa UTANIPENDA..
 
Interview za Diamond leo zimenikogesha najisikia furaha sana kusikiliza ya Clouds na Magic

Hongera Diamond kwa bidii

Msisahau kusali jamani salini na kutoa sadaka ndio mwendo wa maishani.
 
Interview za Diamond leo zimenikogesha najisikia furaha sana kusikiliza ya Clouds na Magic

Hongera Diamond kwa bidii

Msisahau kusali jamani salini na kutoa sadaka ndio mwendo wa maishani.

Jamaa mbaaaya sana huyu
 

Ukipiga kura yako

Tafadhari rudi humo tena baafa ya masaa 24,kupiga kura. Kila upigapo utapata ujumbe usemao "Thank you for voting"

Nawatakia Sikukuu njema
 
Kesho ni Ndani ya Owerri, Nigeria.




Na hapa chini Baba Tiffah aka Mume wa Zari akisubiria kupanda pipa lingine akiwa ndani ya Lagos MM2 leo hii kwenda Owerri

 
Jana Boxing Day 26/12 akiwa na mkewe na familia na marafiki wakipata kujichana

Picha hizi zinaonyesha Dar kuzuri jamani, eti?









 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…