Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

Hii kitu bhana, JF wanatakiwa ku-improve setting zake!! Hivi umeshawahi kuona ama kusikia mtu anapita mahali halafu watu wanaanza kumcheka kichini chini... jamaa anajiuliza, hawa wanacheka cheka nini... hana jibu, kumbe, zipu ipo wazi na mjomba anachungulia lakini jamaa hana habari!!!!!!

Sasa basi, assume umemweka Dinazarde kwenye ignore list... c unajifanya umesusa, JF wanasema Poa, kwavile umesusa basi kila anachoandika Dinazarde hutakiona NG'O lakini wewe ukiandika, Dina anaku-enjoy kama kawa... uliyesusa si wewe, kwani yeye!!!

Now assume, umejishembendua shembendua hapa halafu Dina akakupa makavu live... yale yale ya kuumiza hadi kwenye mishipa ya damu!! Utashangaa tu kutuona akina NasDaz kila tukikuona tunaanza kucheka chini chini... hujui kulikoni, huku tukiziba midomo kwa viganja vya mkono ili tusitoe sauti!! Sasa akitokea mbeya mwenzako aliyekubuhu akaamua kuua kabisa na kusema "Dina bhana, wala siamini... yaani warumi huyu huyu ndo kafanya hayo mambo, mungu wangu, yaani nilikuwa namuona wa maana kweli...!!" Dah... si kukuuma huko... manake wala hujui Dina kapiga mashuti gani...! Unaweza kujikuta baada ya dakika tano unaenda kumtoa kwenye ignore list ili uone kinachowafanya watu wacheke chni chini kila wanapokuona!!!!

Hiyo inaitwa UKISUSA, WENZIO TWALA!

kama kuna watu waliosemwa sana humu jf basi warumi hakosi top 5, najua kuna watu wanaongeaga sana kuhusu mimi, kama kuumia nimeshaumia sana

Kuna watu hata nikiwaweka kwenye ignore list hawanipunguzii chochote, kuna watu wengi wanaonizunguka na wanaoni support. Na kitu ambacho sikiwezag ni kufuatilia mambo ya members wengine humu JF. Mtu ambaye nimemzoea to the maximum ni Dinazarde tu, yan kama kawa dada yangu, tunaongea vitu vingi sana ila wengine sina ukaribu nao wa kihivyo zaidi ya kuchat tu jukwaan basi, so kwangu kumuweka mtu kwenye ignore list sio kazi sana, na uwa sipendi kufuatilia nani kaandika nini kuhusu mim, labda mpaka unifuatilie sana kwa kunitukana au kuchangia thread zangu mara nyingi ndo nita consider the rest hawanihusu wala i dont care
 
Last edited by a moderator:
Mabom ya mchozi yapigwa jijini mwanza kuhusiana nawamachinga kupisha katika maeneo husika.
 
diamond n kboko yaan ukimtaja tu kwenye nymbo yako au ukshndana nae kwa vyovyote lazma uwe maarufuu.dogo kakamata fursa
 
Hapana Chezea Dai jamani tushasemaaaaa mukubali tuu(magari's voice)
 
Hii kitu bhana, JF wanatakiwa ku-improve setting zake!! Hivi umeshawahi kuona ama kusikia mtu anapita mahali halafu watu wanaanza kumcheka kichini chini... jamaa anajiuliza, hawa wanacheka cheka nini... hana jibu, kumbe, zipu ipo wazi na mjomba anachungulia lakini jamaa hana habari!!!!!!

Sasa basi, assume umemweka Dinazarde kwenye ignore list... c unajifanya umesusa, JF wanasema Poa, kwavile umesusa basi kila anachoandika Dinazarde hutakiona NG'O lakini wewe ukiandika, Dina anaku-enjoy kama kawa... uliyesusa si wewe, kwani yeye!!!

Now assume, umejishembendua shembendua hapa halafu Dina akakupa makavu live... yale yale ya kuumiza hadi kwenye mishipa ya damu!! Utashangaa tu kutuona akina NasDaz kila tukikuona tunaanza kucheka chini chini... hujui kulikoni, huku tukiziba midomo kwa viganja vya mkono ili tusitoe sauti!! Sasa akitokea mbeya mwenzako aliyekubuhu akaamua kuua kabisa na kusema "Dina bhana, wala siamini... yaani warumi huyu huyu ndo kafanya hayo mambo, mungu wangu, yaani nilikuwa namuona wa maana kweli...!!" Dah... si kukuuma huko... manake wala hujui Dina kapiga mashuti gani...! Unaweza kujikuta baada ya dakika tano unaenda kumtoa kwenye ignore list ili uone kinachowafanya watu wacheke chni chini kila wanapokuona!!!!

Hiyo inaitwa UKISUSA, WENZIO TWALA!

jamaa unamaneno wewe balaaaaaa
 
Jamaa namkubali sana nimepoga kula 200 now nataka nisajiri lain ingine jamaa namkubali only nasikiliza nyimbo za dia, na gospel kwa sanaaaaa.......

dakika chache zilizo pita nilikua you tube nacheki video na show mbali mbali za mond daah jamaa noma ana jua sana.
 
Back
Top Bottom