Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

machozi ya Qboy msafi hayatamuacha salama hata kidogo. unapofanikiwa ukaanza kuwatenga walokusaidia na kushikamana na waliokudandia kwenye mafanikio (kina salamu) kuna kalaana fulani hivi katakusumbua tu.
 
Ayo ni maneno tu but akijipanga game bado bichi sana
Bichi kwa maana kwamba bado atakuwepo kwenye gemu, ila kiwango chake bora kabisa kilishapita, ni kama akina Nature au Mwana FA walivyo bado kwenye gemu.

Sent from my HUAWEI Y330-U11 using JamiiForums mobile app
 
Jamaa yuko vzr mbaya kuliko recent katoa I miss you na fire zitafute utz unatusumbua sana ndio maana tunajitoa ufahamu kutoona mafanikio yake
Mwanzoni zilikuwa hazitafutwi, zinakufikia popote ulipo

Sent from my HUAWEI Y330-U11 using JamiiForums mobile app
 
Kilichobaki akamuimbie Bashite tu nyumbani kwake.Kanitoka sana toka ajiingize kwenye siasa chafu
 
Sheria ni kauli za wenye mamlaka taifa lipo kwenye upofu mkubwa hivi yapo mawazo ya baadae kweli kwa hali hii

Sent from my Y4 using JamiiForums mobile app
 
Nisipo ichukua kwa mkono wa kulia nitaichukua kwa mkono wa kushoto. Nyimbo Tatu kwa mwezi mmoja hakujawahi kumwacha MTU salama

Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
 
Akikaa kimya,mtasema amefulia..!
Lakini ni maoni yako,ni vyema yakaheshimiwa..!
 


Aache tu kuimba karaoke....arudie biashara yake ya karanga.
 
Hicho ndio ninachostrugle kukifanya
 
Asimamamie WCB kwa sasa ili ahakikishe ina muingizia faida .....apumzike kwa muda na kwa msanii kama Diamond hawezi kupotea kirahisi...kwa sababu anajua kupangilia mashairi na sauti umri bado una mruhusu.......!



Sent from my SM-G530H using JamiiForums mobile app
 
 
huyu dogo bado ana siku nyingi za kusumbua kwani alisha achia ngoma ngapi mbovu na akarudi tena

Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
 
Ngoma ya Diamond "Fire" kuna mstari anayesema "wananitabiria kushuka ila wao ndio wanachina" Tanga kunani...

Ukisoma comments nyingi humu zimejaa wivu,chuki dhidi ya Diamond.

Mwaka wa Tano mnamtabiria kushuka lakini mwenzenu ndio anazidi kupaa.

Wasanii wooote Tanzania na wengine Afrika Mashariki na kati Diamond kawazidi kwa kila kitu.

Nyimbo 10 zilizotizamwa sana youtube Tanzania mpaka leo za Mond zipo nane, kwenye top 20 za wasafi zipo 13.

Diamond kashawapiga gap la maisha mmebakia kumchawia kwa majungu. PAMBANENI NA HALI ZENU.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…