Ana kwambia Hii ni sauti ya Raisi,iliyo mshinda kuiga mpaka ibirisi, alafu ni lazima ujue kutofautisha kuna X na +
diamond bhana aktoa nymbo wapenda burudan wa nch nzma wanakuwa attetion kuucklza.kwel diamond star
another national anthem....huyu jamaa matata sana.
kba huko alpo pia anaisubria hyo ngoma kwa hamu,bla shaka m.a.v.i yanagonga boxer
Nasubiri kesho kuisikia hii ngoma! Bila shaka imefanyiwa maboresha ya aina yake! Kupitia hii ngoma naweza ni kakubali au kukataa kuwa Diamond ni muimbaji bora kwa miaka mitatu mfululizo kama sio minne kwa kutoa hit songs mfululizo!
Nyimbo imepigwa MTV base,Video ya Maana sanaaa
Asante Dai
diamond ataendelea kuwa almassssssssss
Umejitia kimbelembele kufungua thread ya kujifanya kumpa ushauri domomond SAA hz mnaanza jadili watu
This time KiBA is here to stay mtachonga Sana ila ndoo anzidi kupata kick
ebanaee kuna kichupa diamond anataka kukitoa kitakua shida... ingieni insta yake
ova
jamani nisaidie kidogo hivi romy Jones ni kama nani kwa diamond con naona kila alipo D romy J hakosekani,halafu kwenye show ya june mwaka huu kule brussels belgium naona jamaa kama ni dj kwenye hiyo concert.