Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

Na vumbi litafutwa na mwenye vumbi

huna maji huna sabuni huna taulo, unawezaje kufuta vumbi sasa?? hihihihi umepanda treni ya kwenda mujini huna nauli???? watu tumesimama kituoni mwezi wa ngapi huu sijui@dinazarde embu nikumbushe, mtu hufiki, kumbe ulisharidishwa kigoma siku nyingi.
tunakupa second chance nenda kajipange upya kumbuka kubeba nauli yako acha kutegemea lift, na hela ya kula karanga njiani manake safari ni ndefu na wenzio wamefika mbali.
 
huna maji huna sabuni huna taulo, unawezaje kufuta vumbi sasa?? hihihihi umepanda treni ya kwenda mujini huna nauli???? watu tumesimama kituoni mwezi wa ngapi huu sijui@dinazarde embu nikumbushe, mtu hufiki, kumbe ulisharidishwa kigoma siku nyingi.
tunakupa second chance nenda kajipange upya kumbuka kubeba nauli yako acha kutegemea lift, na hela ya kula karanga njiani manake safari ni ndefu na wenzio wamefika mbali.

Hii ni sauti ya raisiiiiiiiii ilomshindagaga ibilisiiii,,kwa mwanadamu sio rahisiiiii
 
Hii ni sauti ya raisiiiiiiiii ilomshindagaga ibilisiiii,,kwa mwanadamu sio rahisiiiii
We dadake Bwana Mcharo una shida kweli... ungejua hiyo minyama nyama yenu mnayoturingishia kila siku mwisho wake minyoo, wala msingetutambia hapa!!
 
Mhh do go kajitahidi nyie kizazi cha nyoka link mtakuwa wakweli ndio nyie huko mitaani mnatupa shida tukipika kuku Wa kienyeji bado mtasema tumepika paka huku mkijua paja LA kuku na paka halifanani
 
Ali ataachia video lini au yuko kukopa anasubili kukamilisha contract na finca ili atoe video mwambie basi nimefika nilisije likamwacha tena .....

kiba atabaki kua queen kwa diamond.
 
attachment.php


Wakati tukikabiliwa na zoezi la kumpigia kura Diamond tuzo za Channel O na AFRIMA za Nigeria, Amekua nominated tena kwenye tuzo zingine za Nchini Humo kipengere cha best african Artist. Tutaendelea kuwajuza taarifa zaidi za Tuzo hizi,
ila kumpigia kura kwenye tuzo za channelo bonyeza link hii ( Channel O Africa Music Video Awards | 2014 ) itakayokupeleka kwenye categories,chagua categories ninazoshindania (#MostGiftedAfricaneast #MostGiftedNewComer #MostGiftedafropop na #MostGiftedVideoOfTheYear ).

Utatakiwa kujisajili kwa namba ya simu ama email chagua njia unayotaka mfano kwa namba ya simu, ingiza namba ukianza na +255 watakutumia code, ingiza code hizo na utakuwa na uwezo wa kulogin na kuvote, njia nyingine ni kupitia WE CHAT app;

Kama una smart phone, download, tengeneza profile ukitumia namba yako ya simu kisha search 'CHANNELOTV" kisha fuata maelekezo utatakiwa uweke namba ya simu yako ukianza na code mfano +255762052850,watakutumia code, ziingize na utakuwa tayari kunipigia kura kwa categories zote nne.

Ahsanteni.

habari njema hii....mwanadaresalama nae vipi?
 
Back
Top Bottom