Paula kilaki
JF-Expert Member
- Jun 26, 2014
- 1,909
- 1,290
Na vumbi litafutwa na mwenye vumbi
huna maji huna sabuni huna taulo, unawezaje kufuta vumbi sasa?? hihihihi umepanda treni ya kwenda mujini huna nauli???? watu tumesimama kituoni mwezi wa ngapi huu sijui@dinazarde embu nikumbushe, mtu hufiki, kumbe ulisharidishwa kigoma siku nyingi.
tunakupa second chance nenda kajipange upya kumbuka kubeba nauli yako acha kutegemea lift, na hela ya kula karanga njiani manake safari ni ndefu na wenzio wamefika mbali.