Paula kilaki
JF-Expert Member
- Jun 26, 2014
- 1,909
- 1,290
Na vumbi litafutwa na mwenye vumbi
huna maji huna sabuni huna taulo, unawezaje kufuta vumbi sasa?? hihihihi umepanda treni ya kwenda mujini huna nauli???? watu tumesimama kituoni mwezi wa ngapi huu sijui@dinazarde embu nikumbushe, mtu hufiki, kumbe ulisharidishwa kigoma siku nyingi.
tunakupa second chance nenda kajipange upya kumbuka kubeba nauli yako acha kutegemea lift, na hela ya kula karanga njiani manake safari ni ndefu na wenzio wamefika mbali.
This's beautiful... just a number... that's it! And you know what, even playing cards got numbers printed on it!!!Age is nothing but a number,,,hongera zaoo good luck
We dadake Bwana Mcharo una shida kweli... ungejua hiyo minyama nyama yenu mnayoturingishia kila siku mwisho wake minyoo, wala msingetutambia hapa!!Hii ni sauti ya raisiiiiiiiii ilomshindagaga ibilisiiii,,kwa mwanadamu sio rahisiiiii
kwa wale wasiojua pesa hutengenezwa na pesa
diamond amenikera sana....... najuta kumaliza MB zangu kudownload huo wimbo
Ali ataachia video lini au yuko kukopa anasubili kukamilisha contract na finca ili atoe video mwambie basi nimefika nilisije likamwacha tena .....
kiba atabaki kua queen kwa diamond.
Queen.!!??
He will remain a servant., a loyal servant.
Wakati tukikabiliwa na zoezi la kumpigia kura Diamond tuzo za Channel O na AFRIMA za Nigeria, Amekua nominated tena kwenye tuzo zingine za Nchini Humo kipengere cha best african Artist. Tutaendelea kuwajuza taarifa zaidi za Tuzo hizi,
ila kumpigia kura kwenye tuzo za channelo bonyeza link hii ( Channel O Africa Music Video Awards | 2014 ) itakayokupeleka kwenye categories,chagua categories ninazoshindania (#MostGiftedAfricaneast #MostGiftedNewComer #MostGiftedafropop na #MostGiftedVideoOfTheYear ).
Utatakiwa kujisajili kwa namba ya simu ama email chagua njia unayotaka mfano kwa namba ya simu, ingiza namba ukianza na +255 watakutumia code, ingiza code hizo na utakuwa na uwezo wa kulogin na kuvote, njia nyingine ni kupitia WE CHAT app;
Kama una smart phone, download, tengeneza profile ukitumia namba yako ya simu kisha search 'CHANNELOTV" kisha fuata maelekezo utatakiwa uweke namba ya simu yako ukianza na code mfano +255762052850,watakutumia code, ziingize na utakuwa tayari kunipigia kura kwa categories zote nne.
Ahsanteni.
diamond ndan ya mawngu fm now
Ndani ya saa24 viewers zaidi ya laki moja,kijana yuko sawa.
Majirani wa Mcharo hao, utawaweza!!!
kila nnavozidi kuicheki hii nyimbo ndo nazidi kuipenda, nzuri sanaaaaaaa
Hayo ni mawazo yako, unaruhusiwa ku comment chochote ilimradi hauvunji sheria, So long as it is free country since 1961( in lara1's voice)