Dah... haya mambo bhana... kama nawaona hivi wapwa; wanacheki kushoto, kisha kulia, wakiona tumejisahau na stori hapa, shaaa, haooo kwenda kuiangalia Nitampata Wapi; wakimaliza, wanarudi hapa wanajikausha, kimyaaaa... ka' sio wao... utafikiri hawajaiona vile! Wanajichekesha chekesha hapa kumbe wanatulia timing, wakiona tuko bize tu, mara tena shaaaa! Kama nawaona hivi wakipangusa midomo ili tusiwashtukie kwamba wameiba nyama!!!
mataa wa pili wan a lip Ana hela ili kujaza thread wameonamwendo wetu mdundo
mataa wa pili wan a lip Ana hela ili kujaza thread wameonamwendo wetu mdundo
Asee mbona rais karudia mavaz aliyotoa nao video aliyomshirikisha iyanya.....
Dah... haya mambo bhana... kama nawaona hivi wapwa; wanacheki kushoto, kisha kulia, wakiona tumejisahau na stori hapa, shaaa, haooo kwenda kuiangalia Nitampata Wapi; wakimaliza, wanarudi hapa wanajikausha, kimyaaaa... ka' sio wao... utafikiri hawajaiona vile! Wanajichekesha chekesha hapa kumbe wanatulia timing, wakiona tuko bize tu, mara tena shaaaa! Kama nawaona hivi wakipangusa midomo ili tusiwashtukie kwamba wameiba nyama!!!
Sisi mdogo mdogo tu, haina haja ya kutumia pesa
Naona unahaha kama mbwa jike aliye kwenye heat! Tulia kijana unyolewe nywele kote kote.kuna mmoja aliniomba nimtumie ile video anaipenda balaa cha ajabu uki mkuta kule kwenye uzi wao ana mdomo mreeefuuu kumbe kwenye simu yake caller tune ni track ya diamond.
Asee mbona rais karudia mavaz aliyotoa nao video aliyomshirikisha iyanya.....
Namkubali sana huyu dogo,ila staki kuamini kwamba hii nyimbo eti ndo OFFICIAL TRACK baada ya my number one. Mi siamini hivo manake ni mbovu mbovu mbovu kweli kweli. The song is too local. Labda kama ndo anavuta pumzi kama alivofanya kwenye nataka kulewa ndo akarelease my number one. Afu kiukweli bado gape ya MANECK kama produzer inaonekana. Huyu wa burn record kaifanya hii ngoma inikumbushe enzi hizooo za metro studio. Ila yule bint.....MASHALLAAAH.
Naona unahaha kama mbwa jike aliye kwenye heat! Tulia kijana unyolewe nywele kote kote.