Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

yaan hawana cha kujadl zaid ya diamond na maisha ya watu,mwanzo mwsho n diamond tu,kumbe wanazpenda story zake

Hawajui kutofautisha msalaba na jumlisha waache waendelee kuwa vipofu hawajui x ni tofauti na alama ya kuzidisha.
 
upande ule umejaa watu flani hivi wanafiki wanapenda kujadili watu wameshindwa kumpa sapoti mfalme wao uchwara wana jadili maisha binafsi ya watu,wamfundishe mtu wao jinsi ya kuvaa aonekane kisanii sio kama muuza chipsi.

Bora muuza chips huyo muuza pweza wao hana hadhi ya kujadiliwa hapa mkuu
 
Huu uzi unakimbia sana kuliko wa Ally Kiba,maana hit 1000 wakati una siku 11 tu wakati wa Ally Kiba una siku 32 hata hajahit wachagiaji 2000
 
Huu uzi unakimbia sana kuliko wa Ally Kiba,maana hit 1000 wakati una siku 11 tu wakati wa Ally Kiba una siku 32 hata hajahit wachagiaji 2000

huku hatuna makuzi ni mwendo wa vipara mdogo mdogo tu mpaka tutafika tunakoenda.
 
Back
Top Bottom