Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

sred is moving hope yule mtoto mchele mchele hajarudi tena humu ndani ndio maana kupo shwari humu ndani.
 
Huu uzi uwe maalum kwa watu wote wenye mapenzi mema na wanao mtakia mafanikio kimuziki na kimaisha kijana Naseeb Abdul "Chibu Dangote".

Wenye kutaka kumshauri na kumtia moyo kijana aendelee kupaa na kuiwakilisha Tanzania kimuziki basi mnakaribishwa hapa mje mtoe maoni yenu kwa management na team Diamond kwa ujumla wapi wanakosea wapi waongeze juhudi wapi wajirekebishe ili kijana aendelee kua "the baddest musician" in Tanzania na East Africa kwa ujumla.

kukosoa pia ni ruksa kwani no body is perfect.

Wale jirani wenye chuki,wivu na roho mbaya kwa vijana wenzao wanao onyesha mafanikio pia wana karibishwa humu ndani kutoa changamoto,kukejeri,kudharau na kutukana pia mnaruhusiwa kama mna akili timamu.


karibuni sana wadau.
attachment.php

wazo nililo nalo ni kwamba zifanyike jitihada kumpata diamond au management yake waje live kwenye hii thread ili waweze kuchat na kujibu maswali mbali mbali ya fans,pia itakua wakati muafaka wa wewe fan wa diamond kutoa ushauri wako kwake,nadhani hii kitu ina weza kuboresha mambo mengi sana.

Chinga One, el nino service zai katoto Dinazarde, data Eshy m.s kimugina mxsdk chige binti kiziwi.
mnaonaje hii idea?
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
wazo nililo nalo ni kwamba zifanyike jitihada kumpata diamond au management yake waje live kwenye hii thread ili waweze kuchat na kujibu maswali mbali mbali ya fans,pia itakua wakati muafaka wa wewe fan wa diamond kutoa ushauri wako kwake,nadhani hii kitu ina weza kuboresha mambo mengi sana.

Chinga One, el nino service zai katoto Dinazarde, data Eshy m.s kimugina mxsdk chige binti kiziwi.
mnaonaje hii idea?

bonge la idea Spiderman Moderator Invisible tafadhali ipandisheni hii post kwenye thread mama hapo iwe kama update.
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom