Ukute wamempigia kura wale wezi.....ila watajijua wenyewe sie tunataka rahaaaaaaaa.....
hahaaaaaaa raha kwa kwenda mbeleee mwaka unaisha kiutamu huu, na bado ile nyimbo yetu kali ya kufungia mwaka lol
Yaan mpaka atamuita dada safariii hiiii
Majirani zetu wana povuuu maskini mpaka nawahurumia itabidiii tuzo moja tuwagawie etiii
Baby kawa kaka leoo
Hapo ujue anataka akampokee Uwanja wa ndege hhhhhhhaaaaaa
Majirani zetu wana povuuu maskini mpaka nawahurumia itabidiii tuzo moja tuwagawie etiii
Majirani zetu wana povuuu maskini mpaka nawahurumia itabidiii tuzo moja tuwagawie etiii
mmejua kuwavuruga.watu hata za kill music award hawana then mnawapelekea habar kama hz lazma povu liwatoke
Hahaaaaa anaanza kujipendekeza taratiibuu, looh mjanja huyu
Jamani kaka Chibuu....chezea Nyotaaa....
kuna huyo mmoja wa mtaa wa pili kuna cku alsema zikifika tuzo za kili atapiga kura balaa ili kbajaji ashinde kwa kishindo daaaah kwa habari hzi nahisi tunaweza kumpoteza duniani
daimond tutembezee dozi baba gawa doziiii kila mtaa mpaka keki ya birthday ishindikane kulika, keki leo inanuka shombo la mayai ndimu sokoni zimeishaaa!
Haya osha macho
Jamani kaka Chibuu....chezea Nyotaaa....