Ila hadi kijana aje aoe mama atakuwa kishaona wanawake wa kila rangi kwake make ni sheeeda
Madam....lakini psychology inasemaje hapo? Me nadhani ameathiriwa na baba na mama kuachana.....hivyo ye hapo haoni shida kuachana...kisaikolojia ana tatizo, anahitaji psychotherapy....
Ila mwanamke anayetaka kumkeep basi amzalie.....hatomuacha, Atalipizia mapenzi ya baba aliyoyakosa ....
Ni hayo tu Madamee. ....
Eti wanaona kujaza thread ndo mafanikio ya huyo baba yao
Acha kijana awafundishe kutofautisha hao wakina fudenge maana wanajua kupambanisha tena pasipokuwa na possibility ya wao kushinda....
NI.. CHECHEEeeeeeee
Kiongozi wao ni yule Matty....hahaaa unategemea nini? Ukitaka Uzi ule uishe muite Kahtaan....hahahaaaa
Kiongozi wao ni yule Matty....hahaaa unategemea nini? Ukitaka Uzi ule uishe muite Kahtaan....hahahaaaa
ila ni muhimu asha uliwe maana maradhi siku hizi yamejaa asije bomoa njia aliyo jijengea...
ulivosema amzalie nkakumbuka nanii alivosema et wema muda wote yupo club akirudi mwili umechoka sa ngapi atabeba mimba ha ha ha, pamoja na hilo ila pia mwanamke wa kudumu nae asiwe star make hawa mastar mi naona maisha yao ni maigizo tu.Madam....lakini psychology inasemaje hapo? Me nadhani ameathiriwa na baba na mama kuachana.....hivyo ye hapo haoni shida kuachana...kisaikolojia ana tatizo, anahitaji psychotherapy....
Ila mwanamke anayetaka kumkeep basi amzalie.....hatomuacha, Atalipizia mapenzi ya baba aliyoyakosa ....
Ni hayo tu Madamee. ....
Heheeeeee
ulivosema amzalie nkakumbuka nanii alivosema et wema muda wote yupo club akirudi mwili umechoka sa ngapi atabeba mimba ha ha ha, pamoja na hilo ila pia mwanamke wa kudumu nae asiwe star make hawa mastar mi naona maisha yao ni maigizo tu.
ulivosema amzalie nkakumbuka nanii alivosema et wema muda wote yupo club akirudi mwili umechoka sa ngapi atabeba mimba ha ha ha, pamoja na hilo ila pia mwanamke wa kudumu nae asiwe star make hawa mastar mi naona maisha yao ni maigizo tu.
akili yao imeishia leaders.
Jamaa kaachana na wema na tuzo za kuimataifa zina anza kumiminika yawezekana wema ana nuksi fulani hivi!?
Watajijua wenyewe...Sie shangwe zinatokea bondeniiiiiii....
Wasssssssssaaaaaaffffiiii.....
Watajijua wenyewe...Sie shangwe zinatokea bondeniiiiiii....
Wasssssssssaaaaaaffffiiii.....
shikamoo daimond
Halafu wanasema anasafiria nyotaaa ya Wemaa......wako wapi Leo? Hard work pays jamaniiiii....