Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,687
Wa Fiesta mbona mbali... jirani tu hapo... leo watu wameenda church bila kutaka.
Haaaaa eti majirani tu hapo.....,
Huko Insta Kiba kapost picha ana mawazo huyoo basi watu sasa hizo caption nimechekaje
Mtaa wa pili hawalali ngoja nikajipitishe nione kama kunajipya.
jamani mbona me sijaiona na mimi niweke caption yangu, coz ninayo tayari. kapost this morning?
mi ni hiphop bot i ril appreciate tha guy
Haaaaa eti majirani tu hapo.....,
Huko Insta Kiba kapost picha ana mawazo huyoo basi watu sasa hizo caption nimechekaje
Search officialalikiba alipost jana usiku...
joh makini mwenyewe amekubali na kumpa holla dai kupitia account yake ya insta...
project inaendelea
project inaendelea
Kijana Chibu sasa hivi ni level nyingine kabisa sioni mtu wa kumfananisha nae hapa bongo,kiba na team yake ndio basi tena washakuwa vijeba hawakui tena
wajiandae kumuona tena kwny We are the World Africa na Dorobucci remix iliyosheheni mastaa kibao.mwaka huu lazima watakojoa dagaa
project inaendelea
Hhhhhjaaaaaa eti wanajifariji kiba anakataa shoo huko south halaf hatak kujionesha kwani Daimond anajionyesha au kazi anazofanya media ndio zinamuonyeshaa,ina maana kwenye tuzo walitaka ajifichee au hua kuna tuzo za kimya kimya hazitangazwiiii
Watakunya bogaa