issa ramadhani
JF-Expert Member
- Nov 11, 2014
- 1,319
- 260
dah diamond anatisha sana,kiukwel namkubali sana.wale wanamfuata yule ambae haoshag kijambio chake,wameishiwa na maneno
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hhhhhjaaaaaa eti wanajifariji kiba anakataa shoo huko south halaf hatak kujionesha kwani Daimond anajionyesha au kazi anazofanya media ndio zinamuonyeshaa,ina maana kwenye tuzo walitaka ajifichee au hua kuna tuzo za kimya kimya hazitangazwiiii
Watakunya bogaa
Pitia account ya Adamumchomvu insta kanyosha mikono,kawaambia mwakani wakizomea tena wataumbuka Chinga One
Haha jana na leo insta ilichafuka kwa habari za mtu mmoja kila mtu alisahau escrow
Am back guys na le tamkoz....
Domo kaiba tuzo za watu jamani.tuzo ya afropop ni ya "mwana" ile ya east Africa ni ya "kimasomaso"
Na ile ya "new comer" ni ya "naksi nakshi"
Kwa niaba ya wafuta vumbi na matisheti ya "the return of the king" tunamtaka azirudishe kabla hatujakodiwa tena kwenda kumzomea pale eapoti hata kama kalitangaza taifa..
Natoa kompilimentari ya bando la buku kwa atakaefika eapoti na mabango ili tumzomee mwizi wa tuzo za davido,iyanya na mafikizolo.
Hahahahaha kuna watu wanatamani kutuma hizi meseji za hivi ila hata wao karoho ndani kwa ndani kanakataaaaa.....
Hahahahaa kama nawaona vile.
Le wafuta vumbi's tamkoz
adam kakubali mziki mzito wa chibu ...ila jamani chibu kwa zari noo haipendezi kabisa otherwise ale mzigo na kusepa ila sio kuwek kambi dada yuko aged sana.
project inaendelea
Kaka wale wote watu wazima wanaelewa wanachokifanya.....
Hakuna ndoa pale.
Kuna kitu dai anapata toka kwa zari na zari toka kwa dai(mbali na kilio cha chaga)
Mfano tazama umaarufu wa zari baada ya kuji associate na chibu.....so me nashangaaa watu wanavyoumiza kichwa juu ya Hawa watu....
Ila kama ukinambia zari na ubaya,hata kama zari ni aged na ana kids,I would go for zarina
Wanye mara ngapi???
Me nasubiri ngoma mpya ya funga mwaka ili wanye fenesi.......
Na zile pimples za fenesi hahahaha
Mi naisubiri video ya mwana naombea kiba nae afanye poaa,,ntashangaa sanaaa akiangusha fans wake
Naona safari hii tandale yote ni mastaa
Video wakati wimbo ushachujaa?
Kusema ukweli mwenzio naipenda video ya Nitarejea ya Diamond hadi basi...kila siku lazima niicheck yani....
mimi video ya moyo wangu hadi kesho naipenda kinomanoma yani
angetoa official video ile kitu "ukimwaona" ingekua magoli kweli.