miss strong
JF-Expert Member
- Jul 4, 2012
- 7,012
- 3,700
Hahahaaaa chizi kweli wew looo
Teh teh teh mambo mamii......
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaaaa chizi kweli wew looo
hahahahaa lebebez wako akija anazama tuu, mmmh!! no! no! no! sikushauri upanue nanii hiyo kazi mwachie mwenye nayo.
Ziko nyingi library ndio maana anaamu kutoa ili fan's wake waenjoy.
Hawezi kuwa kama Diamond milele. Josee ni Josee na Diamond ni Diamond.
Nakubali sana Juhudi zake
Ukitoa utaifa nani.
Mwenye macho hambiwi tazama siku zote.
Kabisa hicho ndicho kitu kilichonifanya nimkubali katika kazi zake. Anajituma kwa hali na mali ili kuhakikisha anaondokana na tatizo la umaskini. Ametokea from grassroots up to the top for his efforts.
Ukitoa utaifa nani icon in East Africa
Kwanini analalamika baada ya uvujaji?
Mwenye macho siku zote hambiwi tazama
Ndio style yake yakutoa nyimbo.
Yeah Jose mkali
Unauhakika na unachokinena. ....!
jibu moja la akili sana hili mkuu Chinga One....afu ukimuona Paula kilaki mwambie dah heshima zake mingi sana!!skia dada yangu Deo Corleone usiwe mwepesi wa ku assume,mi ndio nime anzisha huu uzi na nilipo sema upande wa pili nili maanisha haters wa diamond na wapinga maendeleo ya vijana wenzao kwa ujumla na hakuna nilipo taja kiba,sasa kama fans wa kiba mpo kwenye kundi la haters na wachukia maendeleo ya vijana wenzenu basi it z right for u to cry out louder.
Nipo chini ya raba yake naomba asiachane na wema....ni hilo tu!!!
Hata kama limetoka kwa pedeshee wasameheane tuhadi waseme BMW limetoka wapi!
Nipo chini ya raba yake naomba asiachane na wema....ni hilo tu!!!
habari zote za chibu zipitie hapa ndo ziende kwingine....ilikuwa ni aibu kwa msanii mdogo kama kiba awe na special thread halafu dimond asiwe nayo
we lead others follow...!!
woyowo
woyowoyowooooo!!!!
Teh teh teh mambo mamii......