Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

Huyu jamaa anaupush sana mzik wa Tz kimataifa, Big up!!! Ukisinzia sinziaaaaaAaaaaaa



Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums

kwa Tanzania sasa hivi hakuna msanii wa level za kimataifa kama diamond kwa mbaali akifuatiwa na ambwene.
 
Ndiomaana huwa siwaelewi wanaosemaga ana sauti nzuri.....
Wengi hawajui music.

unaweza ukawa na sauti nzuri lakini ubunifu 0 ndio maana nyimbo zao hazidumu,hivi leo kuna mtu anaweza kusikiliza nyimbo gani ya mwaka mmoja uliopita ya mvaa moka?
 
wanafunzi wanamjua dai kuliko hata kikwete dai superstar kila konaaaa

Kuna katoto ka sister yangu kanajua kanaimba nyimbo zote za diamond duuh sijui na yeye ndio anataka kua msanii??
 
Mkuu nae kwa kupotea tuu

ooh mwenzenu tena basii, ooh mapenzi sitakiii, ooh mwenzenu tena basiii basii sitakiiii,

yalinifanya nikauguaaaa, mara napanga na kupanguaa, mwili ukakonda nikapunguaa... sikulalaaa....

ooh maradhi nikaugua ooh yakanichoma na kuungua rohoo.. kutwa nawaza na kuwazua.. sikulalaaa.....

hahaaa raha sana najickia kuimba tu hapa, isikilize hiyo bonge ya nyimbo kuna mistari amazing kinoma,
acha nimpende chibu aisee ananipa rahaaa
 
eeh..haya mapenzi bwana, hayana maana yalinifanya mi nichekwee, sababu yake nishagombana, nikatukanwa lakini kanipiga tekee....
 
Back
Top Bottom