Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

Makamanda nina video ya mchina akiimba wimbo wa nitampata wapi ila nashindwa kuiupload ambaye ana acess Aseme nimrushie watsaap aje hta pm ili aje aweke kwenye jukwaa watu wapate udambwiudambwi
 
Haa... wale nyie wapuuzeni tu! Dangote sasa ana view zaidi ya 415,000 wakati hata saa 100 hazijafika tangu video iwe uploaded... views zote hizo hakuna aliyelipwa hata sh. 500 watu wanaenda wenyewe kwa raha zao!! Tena bora wapeane hizo buku 20 ili waongeze bundle wakafaidi vizuri Nitampata Wapi ingawaje hawaji kutupa mrejesho!!!

Kaka mrejesho mbona huwa wanatoa??? Sema wanatoa kinafki na kwa kificho ili wasimkwaze bosi wao...


Ukitaka uamini we tembelea accounts zao zingine za social networks utakutana na hizi hash tags

#tatizoNyotaa
#kunaXna ×
#lazimaUjueKutofautishaKatiYaMsalabaNa +

Nimeshuhudia kwa my own pua hahaha,na wakibisha nawataja etiii teh teh
 
Makamanda nina video ya mchina akiimba wimbo wa nitampata wapi ila nashindwa kuiupload ambaye ana acess Aseme nimrushie watsaap aje hta pm ili aje aweke kwenye jukwaa watu wapate udambwiudambwi

ntakutafuta mchina kanipa raha lol
 
jiulize duly sykes na huyo kibaka nani alianza mziki?then jiulize nani ana hit singo tangu anaanza mziki then ukipata jibu ndo ujue nani ndo king wa bongo fleva

Zai pokea likes milioni laki kumi na tano elfu sabini na mia tatu na nusu......
I always wanted to give them that kind of an example lakini nikaona kwa kuwa their hearts are full of hatred they won't even get my point.
Watu kama Dully Sykes walau you can dare to call them kings..
Coz toka wanaanza hawajawahi kukosea wala kushuka....na ukianza kupanga nyimbo zao na ukaanza sikiliza hata sasa bado zinakupa burudani kama uloipata wakati nyimbo zinatoka..
Msanii ambae anafata hizo nyayo ni chibu kwa sasa...
Ukianza kupanga nyimbo za chibu kuanzia kwa KAMWAMBIE mpaka NUMBER ONE,hakuna wimbo ambao Dogo kakosea....na uzuri zaidi unaona kuna maboresho ktk kila song from music to videos.
Binafsi wakati chibu anaanza nkaona hana muda mrefu baada ya mbagala.mara nkasikia ntarejea nkasema maybe ya mwisho mwisho,kustuka naskia MAWAZO(always my favourite) nkasema hatotoa tena kama mawazo,sijakaa sawa naskia lala salama mara kizai zai yaani mara kesho yaani mradi vurugu...mwenyewe nikakata tiketi ya ushabiki namba moja wa chibu.
So mm mtu akija na Sera zake za ufalme na reference akiwa alli binafsi namuona hayuko sawa.
 
Zai pokea likes milioni laki kumi na tano elfu sabini na mia tatu na nusu......
I always wanted to give them that kind of an example lakini nikaona kwa kuwa their hearts are full of hatred they won't even get my point.
Watu kama Dully Sykes walau you can dare to call them kings..
Coz toka wanaanza hawajawahi kukosea wala kushuka....na ukianza kupanga nyimbo zao na ukaanza sikiliza hata sasa bado zinakupa burudani kama uloipata wakati nyimbo zinatoka..
Msanii ambae anafata hizo nyayo ni chibu kwa sasa...
Ukianza kupanga nyimbo za chibu kuanzia kwa KAMWAMBIE mpaka NUMBER ONE,hakuna wimbo ambao Dogo kakosea....na uzuri zaidi unaona kuna maboresho ktk kila song from music to videos.
Binafsi wakati chibu anaanza nkaona hana muda mrefu baada ya mbagala.mara nkasikia ntarejea nkasema maybe ya mwisho mwisho,kustuka naskia MAWAZO(always my favourite) nkasema hatotoa tena kama mawazo,sijakaa sawa naskia lala salama mara kizai zai yaani mara kesho yaani mradi vurugu...mwenyewe nikakata tiketi ya ushabiki namba moja wa chibu.
So mm mtu akija na Sera zake za ufalme na reference akiwa alli binafsi namuona hayuko sawa.

yani bado wana bisha tu kua diamond ndie #numberone kwenye game in east africa?
 
Zai pokea likes milioni laki kumi na tano elfu sabini na mia tatu na nusu......
I always wanted to give them that kind of an example lakini nikaona kwa kuwa their hearts are full of hatred they won't even get my point.
Watu kama Dully Sykes walau you can dare to call them kings..
Coz toka wanaanza hawajawahi kukosea wala kushuka....na ukianza kupanga nyimbo zao na ukaanza sikiliza hata sasa bado zinakupa burudani kama uloipata wakati nyimbo zinatoka..
Msanii ambae anafata hizo nyayo ni chibu kwa sasa...
Ukianza kupanga nyimbo za chibu kuanzia kwa KAMWAMBIE mpaka NUMBER ONE,hakuna wimbo ambao Dogo kakosea....na uzuri zaidi unaona kuna maboresho ktk kila song from music to videos.
Binafsi wakati chibu anaanza nkaona hana muda mrefu baada ya mbagala.mara nkasikia ntarejea nkasema maybe ya mwisho mwisho,kustuka naskia MAWAZO(always my favourite) nkasema hatotoa tena kama mawazo,sijakaa sawa naskia lala salama mara kizai zai yaani mara kesho yaani mradi vurugu...mwenyewe nikakata tiketi ya ushabiki namba moja wa chibu.
So mm mtu akija na Sera zake za ufalme na reference akiwa alli binafsi namuona hayuko sawa.

umenena vyemaaaa
 
Kaka mrejesho mbona huwa wanatoa??? Sema wanatoa kinafki na kwa kificho ili wasimkwaze bosi wao...


Ukitaka uamini we tembelea accounts zao zingine za social networks utakutana na hizi hash tags

#tatizoNyotaa
#kunaXna ×
#lazimaUjueKutofautishaKatiYaMsalabaNa +

Nimeshuhudia kwa my own pua hahaha,na wakibisha nawataja etiii teh teh

wana umia sana kuona maisha yana songa licha ya kusomba wahuni wa kariakoo waka mzomee diamond but still kijana anazidi kupaa.
 
Back
Top Bottom