Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

Furaha bila mashaka diamond akiwa na mamanager wake.
 

Attachments

  • 1417340378047.jpg
    1417340378047.jpg
    22.4 KB · Views: 102
  • 1417340399400.jpg
    1417340399400.jpg
    19.8 KB · Views: 103
Tuzungumzie mambo ya msingi basi wakuu.this is gt's forums.mnaonaje mambo ya kidaku muwe mnayabakisha fb.au mnajishtukia?
 
Hawana hawana LA kusema hawana...
Anaunguruma unguruma LA kusema hawana....

Hawamuwezi ndo mana wanamsemaaa
Hawamuwezi ndo maana wanamchukiaaaa

Na badooooo....wakaoge wasugue na makwapa.....

hahaha
 
Zari akiwa na mama chibu na chibu mwenyewe
 

Attachments

  • 1417341607927.jpg
    1417341607927.jpg
    56.3 KB · Views: 117
  • 1417341626093.jpg
    1417341626093.jpg
    45.2 KB · Views: 115
  • 1417341651604.jpg
    1417341651604.jpg
    46 KB · Views: 117
  • 1417341678395.jpg
    1417341678395.jpg
    31 KB · Views: 115
Mzungu kutoka amerika akimuomba diamond wafanye remix ya "nita mpata wapi"
 

Attachments

  • 1417341736395.jpg
    1417341736395.jpg
    47.8 KB · Views: 121
  • 1417341753514.jpg
    1417341753514.jpg
    53.7 KB · Views: 119
Toa neno hapa.
 

Attachments

  • 1417341828939.jpg
    1417341828939.jpg
    46.1 KB · Views: 116
  • 1417341847018.jpg
    1417341847018.jpg
    45.2 KB · Views: 107
Looking good
 

Attachments

  • 1417341900251.jpg
    1417341900251.jpg
    44.2 KB · Views: 108
  • 1417341915434.jpg
    1417341915434.jpg
    44.3 KB · Views: 102
Yes, nime graduate juzi cuzoo

Hongera zake, maana kuna watu wametumia pesa nyingi sana kuwa maarufu na kujaribu kufahamika dunia nzima, ila hawakuweza hata kufika robo ya stage aliyofikia ndomo, kuna watu wamezaliwa ULAYA na kukulia uko, tena wamesoma kabisa shule za muziki za bei mbaya na wanaweza kutumia vyombo vyote vya muziki na kuimba kama chris brown au Neyo, ila hawakuweza kufika hata robo ya stage aliyofikia ndomo.

Wakati wakina papa Nyangumi na papaa pumb* wakiteketeza ma million ya shilingi kutafuta umaarufu ambao mpaka kesho wameishia kufahamika Meeda bar na rose garden, mtoto wa watu tena kutoka Tandale ameweza kuiteka Africa nzima na kuiweka kiganjani mwake, Sio kwa ajili ya pesa nyingi kama bakhresa , ila ni kipaji tu kimemtoa kwenye herufi Z to B

nmependa ulivyoongea ukweli
 
Ngololoo ngololoo ngololooo
 

Attachments

  • 1417342000726.jpg
    1417342000726.jpg
    47.6 KB · Views: 151
Wacha weee!!!
 

Attachments

  • 1417342065746.jpg
    1417342065746.jpg
    32.6 KB · Views: 137
  • 1417342095777.jpg
    1417342095777.jpg
    22.9 KB · Views: 140
Record zake ni kama leoh messi kila cku anavunja na kuweka mpya so mwisho wa cku he is champion,atakimbiza na atakimbiliwa kwa mbali sana mpaka watachoka
 
Back
Top Bottom