kimugina
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 1,143
- 577
adam kakubali mziki mzito wa chibu ...ila jamani chibu kwa zari noo haipendezi kabisa otherwise ale mzigo na kusepa ila sio kuwek kambi dada yuko aged sana.
Yap yap,apige na kusepa tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
adam kakubali mziki mzito wa chibu ...ila jamani chibu kwa zari noo haipendezi kabisa otherwise ale mzigo na kusepa ila sio kuwek kambi dada yuko aged sana.
Huu uzi uwe maalum kwa watu wote wenye mapenzi mema na wanaomtakia mafanikio kimuziki na kimaisha kijana Naseeb Abdul "Chibu Dangote".
Wenye kutaka kumshauri na kumtia moyo kijana aendelee kupaa na kuiwakilisha Tanzania kimuziki basi mnakaribishwa hapa mje mtoe maoni yenu kwa management na team Diamond kwa ujumla wapi wanakosea wapi waongeze juhudi wapi wajirekebishe ili kijana aendelee kua "the baddest musician" in Tanzania na East Africa kwa ujumla.
Kukosoa pia ni ruksa kwani no body is perfect.
Wale jirani wenye chuki,wivu na roho mbaya kwa vijana wenzao wanao onyesha mafanikio pia wana karibishwa humu ndani kutoa changamoto,kukejeri,kudharau na kutukana pia mnaruhusiwa kama mna akili timamu.
Karibuni sana wadau.
![]()
wakati tunasherekea tuzo tatu za channel o jamaa anatuwakilisha kwenye tuzo nyingine nchine nigeria tumia wakati huu kumpigia kura kupitia hii link THE HEADIES 2014 VOTING CATEGORIES | The Headies Supporting our very own...piga kura mara nyingi uwezavyo
Wenye akili wana show luv kwa chibu hivi ndivyo tunavyo taka tupeane moyo na kutakiana heri pale wenzetu wanapofungua milango.....bravo joh makini.
vipi kiba hajampongeza?
bora kiba, mi EATV ( channel 5 ) ndo ambao wamenishangaza yani dah...! huu utanzania wetu wa ajabu ajabu huu...tupo watu mil 40+ ni wachache sana ukilinganisha na nigeria kwa mfano ambayo tunaiangalia kimuziki...lakini bado ngebe nyiingi
Hahahaaa nacheka sana haters walivyopoteana....Mara hawasikilizi nyimbo za dai wanasikiliza nakshi nakshi mrembo...Mara wanasikilizaga...ni kauli gongana tuuuu.....
Na badooo....mwaka wenu huuu...
bora kiba, mi EATV ( channel 5 ) ndo ambao wamenishangaza yani dah...! huu utanzania wetu wa ajabu ajabu huu...tupo watu mil 40+ ni wachache sana ukilinganisha na nigeria kwa mfano ambayo tunaiangalia kimuziki...lakini bado ngebe nyiingi
Mi naisubiri video ya mwana naombea kiba nae afanye poaa,,ntashangaa sanaaa akiangusha fans wake
bora kiba, mi EATV ( channel 5 ) ndo ambao wamenishangaza yani dah...! huu utanzania wetu wa ajabu ajabu huu...tupo watu mil 40+ ni wachache sana ukilinganisha na nigeria kwa mfano ambayo tunaiangalia kimuziki...lakini bado ngebe nyiingi
Siku Dai atakapoacha muziki watakuja kukir...maana ni kawaida ya binadamu kumpinga mtu akiwa katika epic ila akishuka tu utaskia ila kweli jamaa alikuwa mkali zaidi ya wote....kwa watu wa mpira wanakumbuka barcelona ile ilyoitesa dunia ila kuna watu wakawa wanasema inapendelewa ila ukiwafuata leo watakwambia haijawahi tokea timu nzuri kama ile ila jiulize kwanini mwanzo waikuwa wakiipinga???...jibu ni kwamba sasahvi siyo tishio kwao so dai wanampinga kwa sababu ni zaidi ya wasanii wote wanaowapenda wao
kuna jamaa anasema "time will tell hata juma nature alikua kama diamond sasa hivi yuko wapi?" nime mdharau huyu msela daah una .mfananisha nature na diamond? aagggggrrrrrr!!!!
BBC imempongeza na kumtangaza hao EATV wana lao
Mengi akijua hilo atawatimua aseee....maana Mzee anakubali sana kazi ya diamond plus jitihada zake
BBC imempongeza na kumtangaza hao EATV wana lao