Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

Is the only man ambaye anakuwa bado anamapenz ya dhati na x wake ndio anaweza akamuongelea shit kama hii x wake...
#Its too bad kumuongelea mwanamke mbele ya dunia nzima kuwa katoa mimba tena mimba mbili,,am sorry for you Penny kuwa almost Watanzania wote wanajua kuwa umeshatoa Mimba mbili,hata huyo anayetegemea kukuoa au atakayekuja kukuoa usipozaa atasema kuwa ni kwa sababu ulitoa mimba sana wakati wa ujana wako including mbili za Diamond
#But ni somo kwenu akina mama/dada muache kutembea na hawa watoto,maana huyu ni tabia yake kudhalilisha wanawake kumbukeni alishawahi kumdhalilisha hata wema pia..
 
rais kikwete ampongeza diamond kwa mafanikio yake na kuitangaza tanzania,pia jk ame mpongeza idris kwa ushindi wa BBA....
pongezi hizo zimetolewa leo ikulu ambapo diamond alipata mualiko na pia aliweza kumuonyesha rais tuzo tano alizo nyakua diamond kwa mwaka huu.
 
Diamond akiwa ikulu na jk
 

Attachments

  • 1419357444807.jpg
    1419357444807.jpg
    60.4 KB · Views: 145
  • 1419357531974.jpg
    1419357531974.jpg
    64.1 KB · Views: 145
Jamaa nasikia ana mguu wa mtoto mdogo,swala la kusimamia kucha sidhani maana wema angekuwa anafikishwa na domo asingeangaika na wakongo,jamaa ana pipe lakini hawezi kulitumia.

Ushalirambaramba likakukosa kosa mkuu nn?
 
Yaani linaona sifa kila siku mkimwanzishia uzi hebu msahauni naona ataamua kuvua nguo akaonyeshe dudu yake global ili watu wamzungumize fyuu mshamba wa kila kiyu huyu
 
Ushalirambaramba likakukosa kosa mkuu nn?

Hayo Maneno ni ya marafiki zake wa karibu ndio waliniambia,wanasema mbwa aliyekonda aibu ni ya mfugaji,simply ukiona demu wako anagawa nje jua wazi unacheza kiduku tu wewe uwanjani ,hausimamii alajii alajii kundundundunduuuuu....
 
Ukiona mwaname anajionyesha sana mbele za watu kuwa anajua kubadili wanawake jua kuna tatizo ku bed ndio maana watu wakisikia sifa za nje wanakimbialia mbio wakifika huko wanakuta sivyo ndivyo ila wanashindwa kusimulia ila iko siku atampata kichaa mwenzie siri zote zitakuwa nje halafu nadhani ana shooting black
 
Boo......................??? Ndukiiiiii
 

Attachments

  • 1419369351556.jpg
    1419369351556.jpg
    46.1 KB · Views: 126
This dude is acting like a Bit*h trust me hawa ndezi wanakua maarufu bila mpangilio.
 
From Mange, U-turn.

Hii interview dah, imenisikitisha mnoooooo, kwanini anaongea sasa huyu jamaaa? why tell people Penny alitoa mimba zake mbili? Hivi anajua implication ya hiyo kitu kwenye maisha ya Penny? kwanza it’s illegal kutoa mimba in Tanzania. Pili Penny anatoka familia ya kiislam, ana kaka zake, mama yake na ndugu zake. Kweli watamwangaliaje binti yao kujua alitoa mimba mbili za huyu jamaa?

Acha hiyo tu , Penny bado ni mdogo anahitaji kuolewa hivi ni mwanaume gani atafurahi kujua mkewe alitoa mimba 2 za mtu mmoja tu? Hivi huyu anajua jinsi wanawake wanavyoficha hiyo issue ya kutoa mimba? yani mtu hata uolewe ushindwe kuzaa au upate matatizo humwambii mumeo kuwa ulitoaga mimba. Kutoa mimba huwa ni siri ya mwanamke tena anakufa nayo mwenywe yeye na Dr aliemtoa mimba. Alafu yeye anamtangaza mtoto wa watu katoa mimba, tena sio moja, mbili. Yani kamtia yule mtoto doa kubwa mnooo. Na wale wanaomchambaga Penny huko instagram mbona ndo watapata cha kumchambia zaidi.

Diamond ni mdhalilishaji mnoooooooooo wa wanawake. He doesnt think akiwa anaongea, DAH KABOA MNOO. Hivi unaongeaje on TV kuwa gf wako alitoa mimba 2 tena unamtaja na jina? Huyu mtoto usupa star wake utakuja kuisha vibaya maana anaelekea pabaya sasa. Kusema ukweli mimi I thought wanaume wanaowapenda mama zao au walio close na mama zao huwa wanathamini sana wanawake ila huyu star wetu kaonyesha kuwa sio wote. duh. Hivi Petitman siku akiongea on tv kuwa Esma alitoa mimba 2 yeye atajiskiaje? atafurahi kweli? VERY SAD!

Ila pia mie kama naanza kumstukia huyu kakake Wema, analalamika Penny alitoa mimba zake, Wema alikataa kumzalia mtoto… yani na usupa staa wake woooote kweli hawa wanawake woote wanakataa kumzalia? mie nahisi kama kijana wetu is shooting blanks!!! lol (kama hujui kithungu google). Yani kwa jinsi alivyo na wanawake kila leo lazma mmoja angejibebesha -mimba hata kwa kuiba condom na kujidunga sindano za **** ili imradi apate mimba… Penny alivyokuwaga kafika kwa Diamond anasubiri ndoa kweli achomoe mimba mbili??? mweeeh??? mie naona kama anajitetea sana kuhusu swala la mimba? mdogo wangu Wema alivyokuwaga ready kufa juu ya Diamond na tayari kwa ndoa kweli akatae kuzaa nae? mmmmh!!!! asije tu baadae akasema na Zari nae alikataa kuzaa amzalishe tu hata kamoja, hahahahhahahaa..

Yaani the biggest supastar in East Africa unapiganiwa na mademu kona zote alafu eti wanawake hawataki kuzaa na wewe?? nani kaona hiyo???? yani by now Diamond alitakiwa awe na watoto wa kusingiziwa kama 10 hivi. lol… Hamuoni mwezie Ali Kiba, kidume cha mbegu, UK ana mtoto, sijui na mji gani naskia ana mtoto…Yani yeye akienda nchi za nje kwenye show lazma aache copy yake huko…hahahahhahahah!


Watoto wakike mmezidi kujirahisisha wacha awavue nguo zaidi ndio mjitambue.. safi Dangote
 
Zari alifanya hivyo ili amtumie Diamond ktk part yake bila malipo, na amefanikiwa, sasa kama Diamond ataingia penzini ndiyo hapo mtakapomuonea huruma, kwa wanawake hata kama ana milioni wewe una laki ataitamani laki yako au utalipa bill ya matumizi mkiwa nae.

It makes sense,domo atatumiwa weee mpaka basi,bibi bomba zari ataanda matamasha kibao anajua domo atapafomu bureeee!! Kakamata fursa!
Watu hamuishiwi... Wema alipopanda stejini kwenye show ya Diamond, oh; Domo anamtumia Wema hadi mashabiki wa Wema wakaja na Bring Back Our Wema!! Leo hii Diamond kahudhuaria show ya Zari, tena oh, Diamond anatumika kwa Zari!
 
Back
Top Bottom