chukuachako
JF-Expert Member
- Nov 13, 2014
- 1,209
- 817
Kwahiyo yule anayepigiwa shangwe kwenye picha namba 3 & 4 ni mzee Yusuf sio? Na kama ungejuwa na uzoefu na show za Taarabu basi ungeifanyia tathimin hadhira iliyojaa hapo ukumbini kisha ukapata jibu jibu... labda kwa kukukumbusha tu, angalia ilivyokuwa 2012 hapo hapo Dar Live:
View attachment 214148
Asante kwa kutukumbusha