Kimbley
JF-Expert Member
- Apr 8, 2015
- 3,050
- 2,104
Kwa iyo anataka kutuambia kuwa seyi shayi alimwomba kiba ampost, ukute ata hajui Kama kuna MTU anaitwa kiba hahaa
ahahaaaaaaa!!!usinichekeshe mimi mbavu zangu!maana king alipaniki siku ile vibaya sana!!watu walimtukana sana mpaka akapaniki na kujikuta anapost hata watu wasiomjua!nina imani hata hamjui huyo mtu basi tu pressure ilikua juu.