Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

Kwa iyo anataka kutuambia kuwa seyi shayi alimwomba kiba ampost, ukute ata hajui Kama kuna MTU anaitwa kiba hahaa

ahahaaaaaaa!!!usinichekeshe mimi mbavu zangu!maana king alipaniki siku ile vibaya sana!!watu walimtukana sana mpaka akapaniki na kujikuta anapost hata watu wasiomjua!nina imani hata hamjui huyo mtu basi tu pressure ilikua juu.
 
Diamond atawaua bure asee!
...maana, mara watu tuna'vote Mtv, hatujamaliza tunaambiwa tuvote UEA....mara mtu anapga show Nigeria, karud hajakaa sawa anajaza nyomi Singida...
Afu wakiangalia upande wao, ndo kwanz znaletwa nyuz za kudoda kwa video yao..

Hahahaaaaaa

Ahahahaaaaaa!!!nilicheka na marudio ya album ya sinderella sijui ninini vile pale clouds kwenye siz kitaa!hivi jamani tangu amechukua tuzo amaeshawahi kufanya show kweli king??!
 
ahahaaaaaaa!!!usinichekeshe mimi mbavu zangu!maana king alipaniki siku ile vibaya sana!!watu walimtukana sana mpaka akapaniki na kujikuta anapost hata watu wasiomjua!nina imani hata hamjui huyo mtu basi tu pressure ilikua juu.

Mwenyew nahis hata hamfaham....anatafuta kiki tu na kujipendekeza kwa wanaija.
 
Ahahahaaaaaa!!!nilicheka na marudio ya album ya sinderella sijui ninini vile pale clouds kwenye siz kitaa!hivi jamani tangu amechukua tuzo amaeshawahi kufanya show kweli king??!

Duuuh!
...cjui kama kafanya show tena!.....tungesikia makelele humu ndani....nina uhakika hajafanya!
 
ahahaaaaaaa!!!usinichekeshe mimi mbavu zangu!maana king alipaniki siku ile vibaya sana!!watu walimtukana sana mpaka akapaniki na kujikuta anapost hata watu wasiomjua!nina imani hata hamjui huyo mtu basi tu pressure ilikua juu.

Hahaaaa anasema hanabifu na diamond ila kampost hajampost kumuombea kura, eti kisa hajamuomba, kwaiyo wote alowapost wamemuomba, Kama sio wivu na unafki ni nini
 
Hahaaaa anasema hanabifu na diamond ila kampost hajampost kumuombea kura, eti kisa hajamuomba, kwaiyo wote alowapost wamemuomba, Kama sio wivu na unafki ni nini

Yaani kiba ana wivu tena sio kidogoo!!akitajiwa diamond tu sura inabadilika vibaya mno mpaka watu wanamshitukia!kwenye citizen alidanganya ana miaka 28
 
ahahaa!yaani anajipendekeza sio siri!!nahisi anatamani sana kufanya collabo na wanaija kama diamond ila ndio hivyo tena ataambiwa anaiga nyayo za chibu.

Anamtaman sana wcb presidaa.....ila ndo hivo tena hawez kuomba connection kwake.....aombe tu km vip haon mwenzak shetta anavokimbiza na shikorobo!
...kaz ya platnumz ile!
 
Yaani kiba ana wivu tena sio kidogoo!!akitajiwa diamond tu sura inabadilika vibaya mno mpaka watu wanamshitukia!kwenye citizen alidanganya ana miaka 28

Hahaaaa wivu mbayaaa, Ivi anamiaka mingapi
 
Duuuh!
...cjui kama kafanya show tena!.....tungesikia makelele humu ndani....nina uhakika hajafanya!

Mweeh!!naona mapromota wameamua kumuua njaa!maana msanii usipofanya show basi hata mwezi tu basi njaa inakuhusu!!
 
Anamtaman sana wcb presidaa.....ila ndo hivo tena hawez kuomba connection kwake.....aombe tu km vip haon mwenzak shetta anavokimbiza na shikorobo!
...kaz ya platnumz ile!

Ameshachelewa tayari!wacha tu aendelee kujikongoja hivyohivyo.
 
Mweeh!!naona mapromota wameamua kumuua njaa!maana msanii usipofanya show basi hata mwezi tu basi njaa inakuhusu!!

Duuuh!
...cjui sasa, na hiv nasikia alifukuzwa kune nyumba alokuwa anaishi, itakuwaje sasa Madam😀😀😀
 
Back
Top Bottom