diamond kashapoteza mvuto,, hakuna mtu mwenye habari nae tena
Usingekuwepo kwenye uzi unaomuhusu kucomment shudu hilo... yani we mwenyewe unapingana na unachokisema..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
diamond kashapoteza mvuto,, hakuna mtu mwenye habari nae tena
Ndugu zangu sielewi kabisa, huyu jamaa Nasib mzee wa kick na skendo watu wamempuuza sana, anatumia gharama nyingi kutengeneza video kali lakini watanzania wanaishia kuipongeza video na sio nyimbo tena.
sasa hivi jamaa anachojivunia ni video kali na kukata mauno tu kwenye waimbaji bora hayupo kabisa, ukisikia kama ni tuzo yeye atabeba tu kipengele cha video bora ambapo kimsingi ni juhudi za director, pia utasikia kabeba tuzo ya mnenguaji bora ambapo kimsingi hata twanga pepeta hata wao wakikomaa watachukua.
Jamaa nyimbo zake zinaingia top 10 kwny tv na station zile zile tu huko nje kwa wachumia tumbo lakin huwezi kusikia hata siku 1 akishika chat hapa bongo kwanini?
Skendo sasa hamna hata kick ya kudandia hana tena, vya kupost hana maana kama ni kick ya tiffah basi kashazaliwa, kama ni wema basi mwenzake kashapata mtu wake.
Kijana hajui kick gan atokee, anajarbu kumchokonoa mfalme kiba, ila ndo hivyo kashazibwa mdomo na #Nagharamia sasa kabakia tu kupanick insta ooh i swear sijui nikifa hahahaha
Watanzania kwanini mmempuuza Nasib?
Ndugu zangu sielewi kabisa, huyu jamaa Nasib mzee wa kick na skendo watu wamempuuza sana, anatumia gharama nyingi kutengeneza video kali lakini watanzania wanaishia kuipongeza video na sio nyimbo tena.
sasa hivi jamaa anachojivunia ni video kali na kukata mauno tu kwenye waimbaji bora hayupo kabisa, ukisikia kama ni tuzo yeye atabeba tu kipengele cha video bora ambapo kimsingi ni juhudi za director, pia utasikia kabeba tuzo ya mnenguaji bora ambapo kimsingi hata twanga pepeta hata wao wakikomaa watachukua.
Jamaa nyimbo zake zinaingia top 10 kwny tv na station zile zile tu huko nje kwa wachumia tumbo lakin huwezi kusikia hata siku 1 akishika chat hapa bongo kwanini?
Skendo sasa hamna hata kick ya kudandia hana tena, vya kupost hana maana kama ni kick ya tiffah basi kashazaliwa, kama ni wema basi mwenzake kashapata mtu wake.
Kijana hajui kick gan atokee, anajarbu kumchokonoa mfalme kiba, ila ndo hivyo kashazibwa mdomo na #Nagharamia sasa kabakia tu kupanick insta ooh i swear sijui nikifa hahahaha
Watanzania kwanini mmempuuza Nasib?
Kwa bahati mbaya sana hakuna mwanamuziki Tanzania aliewahi kuipigia campaign CCM akaendelea kuwa juu, so dropping ya Diamond ilitegemewa sana tu!
Diamond na marlaw 2010 ndio walikuwa wasanii walioongoza kuzunguka kuipigia kampeni zaidi kuliko wasanii wote na bado anakimbiza mpaka leo
Chege na temba tokea 2005 wanapigiaga kampeni CCM ila bado wapo
Kushuka Diamond sio leo wala kesho ni mpaka Mungu mwenyewe apange, cha zaidi kupigia CCM campaign ilimfanya azungumziwe zaidi na kuzidi kuwa topic kubwa kitu kilichomuongezea coverage ya umaarufu..
Na cha zaidi, kwa akili za wanaukawa juu ya wasanii zilivyo, hataki demokrasia kwa wasanii ila kikitokea kitu ndio wa kwanza kulalama hamtendewi haki.. kwa staili hiyo msubiri mpaka mwaka 2100 kidooogo mnaweza hata kupata viti vya wabuge sawia na CCM ila urais msahau kabisa
We si ni kidingi hata chekecha ilivyotoka kuna wasanii kama T I D alisema hata week haifiki matokeo yake imebamba mpaka america na kuingia katika album ya Africa top song haha king kibaNagharamia mbovu kabisa, na ndio inadhidi kudhihirisha muandiko mzuri sio kufaulu mtihani..
Dint bother imetambulishwa mtvbase, na sasahivi inapigwa na redio kibao sio east africa pekee hadi nje ya hapa kwetu rotation za kutosha tu..
hata hype ya mashabiki walivyoipokea huwezi kabisa kufananisha na hiyo garamiwa..
Subirini mwanaume atoe vitu mwishoni mwezi huu, kuanzia tar 20 muda wowote Afrika nzima inazizima..
We jamaa inaonyesha kwenu wamezaliwa wanawake watupu ila mwanaume uko ww pekee yako,sasa kwa bahati mbaya umejikuta kuadapt tabia za Dada zako.
Umaarufu wa nn wakati mwenzio amewekeza miradi mbalimbali kila siku anapata pesa
Nagharamia mbovu kabisa, na ndio inadhidi kudhihirisha muandiko mzuri sio kufaulu mtihani..
Dint bother imetambulishwa mtvbase, na sasahivi inapigwa na redio kibao sio east africa pekee hadi nje ya hapa kwetu rotation za kutosha tu..
hata hype ya mashabiki walivyoipokea huwezi kabisa kufananisha na hiyo garamiwa..
Subirini mwanaume atoe vitu mwishoni mwezi huu, kuanzia tar 20 muda wowote Afrika nzima inazizima..
diamond kashapoteza mvuto,, hakuna mtu mwenye habari nae tena